Wakazi Kidunda wataka fidia
WAKAZI wa Kidunda, Wilaya ya Morogoro Vijijini wameilalamikia serikali kwa kushindwa kulipa fidia ili kupisha mradi wa ujenzi wa bwawa litakalowahakikishia upatikanaji wa maji wakazi wa Dar es Salaam. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Jul
Kidunda kuanza kulipwa fidia Julai 21
MAMLAKA ya Maji Safi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam, (DAWASA), imetenga kiasi cha sh bilioni 7.9 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi 2,600 watakaohamishwa katika kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro kupisha ujenzi wa bwawa la maji na barabara.
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Sep
DAWASCO yawapoza wakazi Kidunda
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAMLAKA ya Maji Safi na Taka Dar es Salaam (DAWASA), imewahakikishia wakazi wa Kidunda, wilayani Morogoro kwamba inapitia upya baadhi ya malalamiko juu ya fidia zao katika mradi wa bwawa la Kidunda na kuyapatia ufumbuzi.
Hayo yalibainishwa jana na Mthamini wa Mali za DAWASA, Mhandisi John Kwecha, alipzungumza na waandishi wa habari mjini hapa juu ya malalamiko hayo.
Alisema baada ya kulipa fidia katika eneo la mradi wa bwawa la Kidunda, wamepokea malalamiko ya...
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Waliowateka nyara wahubiri wataka fidia
11 years ago
Habarileo27 Sep
Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia
SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbunge ahoji fidia kwa wakazi wa Malolo
MBUNGE wa Mikumi, Abdulsalaam Ameir (CCM). ameitaka serikali kueleza lini itawalipa fidia wananchi wa Kata ya Malolo walioathiriwa mazao yao kutokana na upanuzi wa bomba la mafuta la Kampuni ya...
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Wakazi Kigamboni wataka viwanja
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Kidunda aaga Madola
11 years ago
TheCitizen17 Jul
Kidunda: Medal haul our priority