Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Kidunda wataka fidia

WAKAZI wa Kidunda, Wilaya ya Morogoro Vijijini wameilalamikia serikali kwa kushindwa kulipa fidia ili kupisha mradi wa ujenzi wa bwawa litakalowahakikishia upatikanaji wa maji wakazi wa Dar es Salaam. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kidunda kuanza kulipwa fidia Julai 21

MAMLAKA ya Maji Safi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam, (DAWASA), imetenga kiasi cha sh bilioni 7.9 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi 2,600 watakaohamishwa katika kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro kupisha ujenzi wa bwawa la maji na barabara.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

DAWASCO yawapoza wakazi Kidunda


NA  LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAMLAKA ya Maji Safi na Taka Dar es Salaam (DAWASA), imewahakikishia wakazi wa Kidunda, wilayani Morogoro  kwamba inapitia upya  baadhi ya malalamiko juu ya fidia zao  katika mradi wa bwawa la Kidunda na kuyapatia ufumbuzi.
Hayo yalibainishwa jana na Mthamini wa Mali za DAWASA, Mhandisi  John Kwecha, alipzungumza na waandishi wa habari mjini hapa juu ya malalamiko hayo.
Alisema  baada ya kulipa fidia katika eneo la mradi wa bwawa la Kidunda, wamepokea malalamiko  ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliowateka nyara wahubiri wataka fidia

Watu waliojihami kwa bunduki wametaka kulipwa fidia ili wawaachilie wahubiri sita wa kiislamu waliotekwa nyara mashariki mwa jimbo la kivu katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

 

11 years ago

Habarileo

Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia

Katibu Mtendaji wa Sumatra CCC, Oscar Kikoyo SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji fidia kwa wakazi wa Malolo

MBUNGE wa Mikumi, Abdulsalaam Ameir (CCM). ameitaka serikali kueleza lini itawalipa fidia wananchi wa Kata ya Malolo walioathiriwa mazao yao kutokana na upanuzi wa bomba la mafuta la Kampuni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakazi Kigamboni wataka viwanja

Baadhi ya wakazi wa Kata ya Somangila, Kigamboni wilayani Temeke, wameikumbusha Serikali ahadi yao ya kupewa viwanja baada ya kupisha uwekezaji wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Avic.

 

11 years ago

Mwananchi

Kidunda aaga Madola

Tanzania imeendelea kufanya vibaya kwenye fainali za Jumuiya ya Madola baada ya nahodha wa timu hiyo, bondia Seleman Kidunda kushindwa kufuzu kwa robo fainali.

 

11 years ago

TheCitizen

Kidunda: Medal haul our priority

Team Tanzania captain Suleiman Kidunda has promised that the side will cause upsets at the 2014 Commonwealth Games planned to start next Wednesday in Glasgow, Scotland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani