Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliowateka nyara wahubiri wataka fidia

Watu waliojihami kwa bunduki wametaka kulipwa fidia ili wawaachilie wahubiri sita wa kiislamu waliotekwa nyara mashariki mwa jimbo la kivu katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kidunda wataka fidia

WAKAZI wa Kidunda, Wilaya ya Morogoro Vijijini wameilalamikia serikali kwa kushindwa kulipa fidia ili kupisha mradi wa ujenzi wa bwawa litakalowahakikishia upatikanaji wa maji wakazi wa Dar es Salaam. Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia

Katibu Mtendaji wa Sumatra CCC, Oscar Kikoyo SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waliowateka ONLF mahakamani Kenya

Polisi 2 nchini Kenya waliofikishwa mahakamani kwa kosa la kuwateka nyara maafisa wawili wakuu wa vuguvugu la ONLF la Ethiopia, wameachiliwa kwa dhamana ya dola elfu 23.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa

Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria

Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Zimbabwe yategemea wahubiri

Serikali ya Zimbabwe inaendelea kukabiliwa na matatizo katika kuafikia malengo yake ya kifedha, kwa hivyo imeanza kuwategemea wahubiri maarufu wanaojitambulisha kama manabii

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili. Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera

Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini nchini wahubiri amani

>Viongozi wa dini katika makanisa mbalimbali nchini, wametumia Sikukuu ya Krismasi kuhubiri amani, kulaani ubinafsi huku wakiitaka Serikali kuhakikisha inawang’oa viongozi mizigo ambao ndio chanzo cha umaskini nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani