Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya Zimbabwe yategemea wahubiri

Serikali ya Zimbabwe inaendelea kukabiliwa na matatizo katika kuafikia malengo yake ya kifedha, kwa hivyo imeanza kuwategemea wahubiri maarufu wanaojitambulisha kama manabii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya Brazil yategemea Neymar

Mchezaji wa kitambo wa Brazil ana wasiwasi taifa hilo linamshinikiza Neymar kunyakua Kombe la Dunia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mali ya serikali ya Zimbabwe yapigwa mnada

Nyumba inayomilikiwa na serikali ya Zimbabwe imepigwa mnada Cape Town, katika hatua ya kihistoria fani ya sheria ya kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa yategemea nguvu ya CUF, NCCR majimbo yote ya Urambo, Sikonge

Jimbo la Sikonge ni mamlaka yote ya Wilaya ya Sikonge yenye kata 20, vijiji 71 na vitongoji 281. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, jimbo hili lina wakazi 179,883, wanaume wakiwa 88,947, wanawake 90,936 na wastani wa watu ni 5.9 katika kila kaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa

Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria

Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini nchini wahubiri amani

>Viongozi wa dini katika makanisa mbalimbali nchini, wametumia Sikukuu ya Krismasi kuhubiri amani, kulaani ubinafsi huku wakiitaka Serikali kuhakikisha inawang’oa viongozi mizigo ambao ndio chanzo cha umaskini nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliowateka nyara wahubiri wataka fidia

Watu waliojihami kwa bunduki wametaka kulipwa fidia ili wawaachilie wahubiri sita wa kiislamu waliotekwa nyara mashariki mwa jimbo la kivu katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili. Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera

Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani