Serikali ya Zimbabwe yategemea wahubiri
Serikali ya Zimbabwe inaendelea kukabiliwa na matatizo katika kuafikia malengo yake ya kifedha, kwa hivyo imeanza kuwategemea wahubiri maarufu wanaojitambulisha kama manabii
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Matumaini ya Brazil yategemea Neymar
Mchezaji wa kitambo wa Brazil ana wasiwasi taifa hilo linamshinikiza Neymar kunyakua Kombe la Dunia.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Mali ya serikali ya Zimbabwe yapigwa mnada
Nyumba inayomilikiwa na serikali ya Zimbabwe imepigwa mnada Cape Town, katika hatua ya kihistoria fani ya sheria ya kimataifa.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa yategemea nguvu ya CUF, NCCR majimbo yote ya Urambo, Sikonge
Jimbo la Sikonge ni mamlaka yote ya Wilaya ya Sikonge yenye kata 20, vijiji 71 na vitongoji 281. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, jimbo hili lina wakazi 179,883, wanaume wakiwa 88,947, wanawake 90,936 na wastani wa watu ni 5.9 katika kila kaya.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa
Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria
Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Viongozi wa dini nchini wahubiri amani
>Viongozi wa dini katika makanisa mbalimbali nchini, wametumia Sikukuu ya Krismasi kuhubiri amani, kulaani ubinafsi huku wakiitaka Serikali kuhakikisha inawang’oa viongozi mizigo ambao ndio chanzo cha umaskini nchini.
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Waliowateka nyara wahubiri wataka fidia
Watu waliojihami kwa bunduki wametaka kulipwa fidia ili wawaachilie wahubiri sita wa kiislamu waliotekwa nyara mashariki mwa jimbo la kivu katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wahubiri bandia watapeli watu Ghana
Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili. Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini.
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera
Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania