Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIWANJA VILIVYO PIMWA VINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAUZWA NA VIPO KIGAMBONI GEZAULOLE,SQ 1010 SH.MILIONI 18,SQ 1100 SH.MILIONI 19,SQ 800 SH.MILIONI 15 NA VYOTE VINA OFA.SQ 1500 SH.MILIONI 30.SQ 1062 SH.MILIONI 22 NA SQ 822 SH.MILIONI 19,HIZO ZOTE NI PAMOJA  NA MALIPO YOTE YA MANISPAA. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NO 0652020343

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VIWANJA VINAUZWA

VIWANJA VINAUZWA,VIMEPIMWA NA MANISPAA YA TEMEKE,VINAPATIKANA GEZAULOLE KIGAMBONI,SQM 1,400 SH.MIL 28,SQM 1,1OO SH MIL 24,SQM 800 SH MIL.18,SQM 700 MIL.17 NA AMBAVYO HAVIJAPIMWA KWA MIL.8 NA MIL 12.KWA MAWASILIANO PIGA 0652O20343

 

10 years ago

Michuzi

VIWANJA NA ENEO LA SHULE VINAUZWA


VIWANJA HIVI VIPO KIGAMBONI,KATA YA PEMBA MNAZI,MTAA WA MUHIMBILI (TUNDWI CENTER),VIPO UMBALI WA MITA 600 - 700 KUTOKA BARABARA KUU,NI VIWANJA VILIVYOPIMWA.

ENEO  LA SHULE NI KWA AJILI YA CHEKECHEA,PRIMARY PAMOJA NA SEKONDARI ,UKUBWA WA ENEO HILO NI  35,022 SQM.
 KWA MAELEZO ZAIDI JUU YA VIWANJA HIVYO,WASILIANA NA NDG. JAMES MPAYO KWA NAMBA HIZO HAPO CHINI.0784 207877 NA 0754 780878PIA UNAWEZA KUMTUMIA EMAIL: JMPAYO@OVI.COM

 

9 years ago

Michuzi

VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.

1.     Viko Mbweni  usalama  wa  taifa, vina  hati miliki, viko  karibu na  barabara  ya  lami na viko  karibu  na  beach,  vipo  Sqm  600 – 1500, bei  ni  kuanzia  milioni 35 mpaka  45.
2.     Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba  6 na  nyingine vyumba 4. Zote  zina  leseni  ya  makazi, gari  mpaka mlangoni, umeme  upo. Kila  moja  bei  milioni 65.
3.     Nyumba yenye geti  la  gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na  hati...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakazi Kigamboni wataka viwanja

Baadhi ya wakazi wa Kata ya Somangila, Kigamboni wilayani Temeke, wameikumbusha Serikali ahadi yao ya kupewa viwanja baada ya kupisha uwekezaji wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Avic.

 

10 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Akiwanadi Wagombea Uongozi Serikali za Mitaa wa UKAWA viwanja Kata ya Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.

 Umati wa watu wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe wakati wa mkutano wa kuwanadi wagombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kupitia UKAWA katika Kata ya Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akihutubia katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika katika viwanja Kata ya Vijibweni Kigamboni jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkandarasi atelekeza ujenzi wa soko la Gezaulole

MKANDARASI, Serico Company Ltd anadaiwa kutoweka na kutelekeza ujenzi wa Soko la Gezaulole, Kata ya Kauzani, Manispaa ya Morogoro linalotarajiwa kugharimu sh milioni 12 hadi kukamilika. Hayo yamebainika kwenye ziara...

 

9 years ago

Michuzi

VIFAA HIVI VINAUZWA

Tyre Changer, Wheel Balancer na Compressor vinauzwa, ni used kutoka UK lakini vipo katika hali nzuri. Vyote vipo Dar es Salaam. Mawasiliano: 0774 65 98 95 au +255 788 741 125

 

10 years ago

Dewji Blog

Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni

pix 1

Waziri wa Ujenzi  Dkt. John Magufuli  akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika  uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni  jana jijini Dar es  Salaam kinachofanyiwa matenganezo  na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.

pix 2

Mtendaji  Mkuu  Temesa Injinia  Marceline Magesa akitoa neno la shukrani  kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni

  Mbunge we jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile akikata utepe kufungua rasmi kiota kipya Mji Mwema Kigamboni. Kiota hicho kinaitwa  Fursat Dhahabiyya.
 Wadau mbalimbali wakijivinjari ndani ya kiota kipya cha Fursat Dhahabiyya Kilichopo Mji Mwema Kigamboni Mwonekano wa Ndani wa Kiota Hicho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani