Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIWANJA NA ENEO LA SHULE VINAUZWA


VIWANJA HIVI VIPO KIGAMBONI,KATA YA PEMBA MNAZI,MTAA WA MUHIMBILI (TUNDWI CENTER),VIPO UMBALI WA MITA 600 - 700 KUTOKA BARABARA KUU,NI VIWANJA VILIVYOPIMWA.

ENEO  LA SHULE NI KWA AJILI YA CHEKECHEA,PRIMARY PAMOJA NA SEKONDARI ,UKUBWA WA ENEO HILO NI  35,022 SQM.
 KWA MAELEZO ZAIDI JUU YA VIWANJA HIVYO,WASILIANA NA NDG. JAMES MPAYO KWA NAMBA HIZO HAPO CHINI.0784 207877 NA 0754 780878PIA UNAWEZA KUMTUMIA EMAIL: JMPAYO@OVI.COM

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VIWANJA VINAUZWA

VIWANJA VINAUZWA,VIMEPIMWA NA MANISPAA YA TEMEKE,VINAPATIKANA GEZAULOLE KIGAMBONI,SQM 1,400 SH.MIL 28,SQM 1,1OO SH MIL 24,SQM 800 SH MIL.18,SQM 700 MIL.17 NA AMBAVYO HAVIJAPIMWA KWA MIL.8 NA MIL 12.KWA MAWASILIANO PIGA 0652O20343

 

9 years ago

Michuzi

VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.

1.     Viko Mbweni  usalama  wa  taifa, vina  hati miliki, viko  karibu na  barabara  ya  lami na viko  karibu  na  beach,  vipo  Sqm  600 – 1500, bei  ni  kuanzia  milioni 35 mpaka  45.
2.     Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba  6 na  nyingine vyumba 4. Zote  zina  leseni  ya  makazi, gari  mpaka mlangoni, umeme  upo. Kila  moja  bei  milioni 65.
3.     Nyumba yenye geti  la  gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na  hati...

 

11 years ago

Michuzi

VIWANJA VILIVYO PIMWA VINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAUZWA NA VIPO KIGAMBONI GEZAULOLE,SQ 1010 SH.MILIONI 18,SQ 1100 SH.MILIONI 19,SQ 800 SH.MILIONI 15 NA VYOTE VINA OFA.SQ 1500 SH.MILIONI 30.SQ 1062 SH.MILIONI 22 NA SQ 822 SH.MILIONI 19,HIZO ZOTE NI PAMOJA  NA MALIPO YOTE YA MANISPAA. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NO 0652020343

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya UTT-PID chini ya Wizara ya Fedha yapanua barabara eneo la mradi wa viwanja Lindi

Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.

Baada ya kupima na kufanikiwa kuuza viwanja zaidi ya 2,500 katika fukwe za Mabano na Mmongo kwa ushirikiano na Manispaa ya Lindi, Mradi huo umeingia katika hatua ya upanuzi wa barabara kuu na za mitaa ndani ya mradi ambapo kwa ushirikiano huo zaidi ya Shilingi Billion 1 zinatarajiwa kutumika mpaka kukamilika kwake.

Mradi huo mkubwa zaidi nchini katika upimaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Nzugiza amesema, hatakubali kushiriki mpango wa kumega eneo la Sekondari ya Mbeya kutumika kwa ajili ya makaburi.

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

11 years ago

Michuzi

Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu

 Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP na lenye nambari ya idadi 168.usiku huu limepiga mweleka katika eneo la Tabata Shule,mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata.Kamera ya Glogu ya Jamii ilifika eneo hilo na kukuta baadhi ya wahusika waliokuwa wakilitumia basi hilo wakihangaika kutoa baadhi ya mali zao zilizokuwemo ndani ya basi hilo ili waweze kuondoka nazo...

 

9 years ago

GPL

KARIBU KATIKA SHULE YA AWALI YA KIDS PLANET ILIYOPO ENEO LA JKT MBWENI

Muonekano wa madarasa ya shule hiyo. v  Shule inatoa elimu bora katika  mazingira mazuri ya kusomea
v  Na inao walimu wakutosha  wazuri wenye taaluma ya kufundisha watoto wadogo na wenye upendo  na kazi yao
v  Shule ina maktaba iliyosheheni vitabu vya kila aina na kompyuta
v  Na upande wa malazi inayo mabweni mazuri yenye vyumba vizuri kwa watoto na huduma… ...

 

11 years ago

Michuzi

shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite mkoani manyara yazindua eneo na majengo yake

Shule ya chekechea na msingi ya Blue Tanzanite iliyopo Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyoanzishwa mwaka 2008 na yenye wanafunzi 360, yazindua eneo lake na majengo yake. Mkurugenzi wa shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite iliyopo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, Raphael Alex Ombade  akizungumza kwenye sherehe za shule hiyo.Padri Pastory Kijuu wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani