Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magari yanayojiendesha sasa yaja

Magari yanayojiendesha bila ya dereva kushika usukani yataanza kusambazwa duniani kabla ya muda uliotarajiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Magari yanayojiendesha yahusika na ajali

Wiki hii tumegundua kwamba magari manne kati ya 48 yanayojiendesha bila dereva katika barabara za Carlifonia yamehusika katika ajali za barabarani katika kipindi cha miezi minane iliopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Google kuunda magari yanayojiendesha

Kampuni ya teknolojia ya Google imesema kuwa itaanza kuunda magari yanayojiendehsa yenyewe.

 

11 years ago

GPL

GOOGLE WAJA NA KITU KIPYA, WATENGENEZA MAGARI YANAYOJIENDESHA YENYEWE

Gari linalotembea bila kuwa na dereva kutoka kampuni ya Google. Kampuni ya Teknologia ya Google imetengeneza magari yanayojiendesha yenyewe.
Kampuni hiyo ambayo imejijengea sifa kwa njia ya kipekee ya utendaji kazi wake katika sekta ya kiteknolojia imekuwa ikikarabati magari ya kawaida. Lina uwezo wa kumpeleka abiria bila kuwa na dereva. Gari hilo la kiteknolojia halitakuwa na usukani.
Google imesambaza picha ya gari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani

 

This Luxury Boeing 747-8 for the Super-Rich is a Palace in the SkyMost of us can’t afford to fly first-class, let alone buy our own jet. And even within that exclusive world, it’s a big step up from your standard private jet to a personalized Boeing 747-8. Greenpoint Technologies, of Kirkland, recently fitted out the industry’s first VIP 747-8 for a private, undisclosed client.Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.

Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.

Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.

rawimage-11

Ndege ya Gulfstream G650,  miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...

 

11 years ago

Habarileo

Maegesho ya magari Dar sasa kusimamiwa na Jiji tu

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imezinyang’anya rasmi Manispaa majukumu ya kusimamia maegesho ya magari na imefuta vibali vyote vya maegesho vilivyotolewa na mamlaka hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya Kamati ya Ushauri Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) kuagiza halmashauri ya Jiji kufanya kazi hiyo baada ya kubaini halmashauri za Ilala, Kinondoni na Temeke, kisheria hazikupaswa kusimamia maegesho ya magari.

 

10 years ago

Mwananchi

USAFIRI:Afrika sasa yaunda magari yake

Gari aina ya Nyumbu halionekani sana nchini, lakini ukweli ni kwamba limebuniwa na kutengenezwa Tanzania kama ilivyo kwa magari ya Kantaka, Innoson na Kiira ambayo yametengenezwa na nchi tatu za Afrika.

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI MBIO ZA MAGARI YAKAMILIKA,SASA KUFANYIKA JUMAPILI HII MAENEO YA KIA

Baadhi ya magari yakiingia uwanjani kwa ajili ya ukaguzi wa mwisho kabla ya mashindano.

Mafundi wakiweka mafuta ya ndege katika moja ya magari yanayoshiriki mbio hizo.
Magari yanaotajwa kutoa ushindani mkali katika mbio hizo.Mamboz na Madebe linalotajwa kufungwa injini mpya ambayo bado kilometa zake zinasoma 0.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

5 years ago

BBCSwahili

Barabara za Nigeria : 'Mwanangu wa kiume alikufa kwa ajali ya gari- na sasa ninaongoza magari barabarani'

Mwanamke wa Kinigeria Monica Dongban-Mensem anafanya kampeni ya usalama wa barabarani baada ya mtoto wake wa kiume kufa katika ajali ya barabarani ambapo gari lililomgonga lilitoweka.

 

10 years ago

GPL

NAY ATANGAZA MALI ZAKE, YAMO MAJUMBA, MAGARI, ASEMA KWA SASA YUPO SINGLE

STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki. Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporah kinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku. Nay wa Mitego akipozi na Mtangazaji wa Kipindi cha Sporah. Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo. Mbali ya vitu hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani