USAFIRI:Afrika sasa yaunda magari yake
Gari aina ya Nyumbu halionekani sana nchini, lakini ukweli ni kwamba limebuniwa na kutengenezwa Tanzania kama ilivyo kwa magari ya Kantaka, Innoson na Kiira ambayo yametengenezwa na nchi tatu za Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Usafiri wa magari changamoto Nigeria
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Usafiri kituo cha Ubungo sasa ‘poa’
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Usafiri Dar-Bagamoyo sasa kwa boti ya kasi
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Magari yanayojiendesha sasa yaja
11 years ago
Habarileo20 Jan
Maegesho ya magari Dar sasa kusimamiwa na Jiji tu
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imezinyang’anya rasmi Manispaa majukumu ya kusimamia maegesho ya magari na imefuta vibali vyote vya maegesho vilivyotolewa na mamlaka hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya Kamati ya Ushauri Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) kuagiza halmashauri ya Jiji kufanya kazi hiyo baada ya kubaini halmashauri za Ilala, Kinondoni na Temeke, kisheria hazikupaswa kusimamia maegesho ya magari.
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
UDA yasisitiza nia yake ya kuboresha usafiri Dar Es Salaam
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze kuitawala biashara ya usafiri.
Kwa mujibu wa taarifa ya UDA, mpango unaendelea wa kuifanya Dar es Salaam liwe jiji lenye urahisi katika usafiri kwa kufanya kazi kwa karibu na...
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Volkswagen kurekebisha magari yake
5 years ago
MichuziRais Magufuli atimiza ahadi yake Maafisa Tarafa Mwanza wakabidhiwa Usafiri
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akikabidhi ufunguo wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Maafisa Tarafa Mkoa Mwanza, Peter Michael (kushoto) kama ishara ya kukabidhi pikipiki 24 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 24 za Mkoa Mwanza.
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake