Hasara za kutotunza kumbukumbu za biashara kwa wajasiriamali
Utunzaji wa kumbukumbu ni kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Kumbukumbu husaidia kuonyesha dira au mwelekeo wa jambo lililofanyika au linalofanyika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0048.jpg?width=650)
UN YAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA WAATHIRIKA WA BIASHARA YA UTUMWA
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Umuhimu wa kutunza kumbukumbu katika biashara yako
10 years ago
StarTV28 Dec
Wajasiriamali waaswa kuendesha biashara zao kitaalamu.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Wajasiriamali nchini wametakiwa kujifunza mbinu za kuendesha biashara zao kitaalamu ili kukuza mitaji.
Hatua hiyo itazijafanya biashara hizo kuwa endelevu na zenye tija.
Ni katika uzinduzi wa kitabu cha Mjasiriamali kinacholenga kutoa elimu itakayowasaidia wajasiriamali wadogo na wa kati kukuza mitaji ya biashara zao kitaalamu badala ya kuendesha biashara za kuiga ama kufuata mkumbo ambazo mara nyingi si endelevu.
Mtunzi wa kitabu hicho mjasiriamali mdogo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s72-c/Faidika+1.jpg)
FAIDIKA yawezesha wajasiriamali baada ya mafunzo ya biashara
![](http://4.bp.blogspot.com/--VppNBuGuO0/U8d__WG1lpI/AAAAAAACloA/tr0VSWFbaj8/s1600/Faidika+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-toPm1aWlA-I/U8eBEBo2QoI/AAAAAAAClo8/P_GUxeAU0Ws/s1600/Faidika+6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Wajasiriamali wahimizwa kutumia Internet kutangaza biashara zao!
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Zanzibar, Bw. Salim Maulidi Salim akimkabidhi picha ya mlango wa asili ya Zanzibar, Mwenyekiti wa Watanzania wanaoishi jijini Birmingham, Bw. Prince Kateka II ikiwa ni ishara ya kukaribishwa Zanzibar.
Wafanyabiashara wamehimizwa kutumia mtandao wa internet kutangaza bidhaa na huduma wanazotoa kwa kuwa njia hiyo ni nafuu na inawafikiwa watu wengi kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Bw. Dickson Inachee, Raia wa Uganda alipokuwa anatoa mada katika kongamano la siku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
KINAMAMA WAJASIRIAMALI WATIA FORA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA NDOLA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uVfDv3BETFs/VaAzL8UOuLI/AAAAAAAHokU/X8aTY6-_0xE/s1600/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Nov
Dkt. Kissui afungua kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi Karakana ya wajasiriamali-Wazo Hill Tegeta leo
Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Utamaduni, Michezo, Habari na Vijana Dkt. Kissui S. Kissui akifungua rasmi kongamano la ulingo wa maendeleo ya biashara na uchumi Karakana ya wajasiliamali uliofanyika Wazo Hill Tegeta, Katika Hotuba yake aliwapongeza PSPF kwa kujitoa kuwasaidia wajasiliamali kuwekeza kupitia Fao lao la Ujasiliamali na Kujiunga katika mfuko wa uchangiaji wa Hiari wa PSS, Pia aliwapongeza Haiba Foundation kwa kuwasaidia wajasiriamali wadogo wadogo na mwisho alitoa somo maalum...
11 years ago
Michuzi24 Jun
Waziri mkuu Pinda ahudhuria mkutano wa benki ya dunia,awataka wajasiriamali walioko katika sekta isiyo rasmi kurasimisha biashara zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-GceeY8hOFPo/U6l0uvTQipI/AAAAAAAAPCI/Npz6JYsAL-A/s1600/13.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-xZcLiJnA44w/U6l05D0wcaI/AAAAAAAAPCQ/nuDj13bMuSo/s1600/14.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi