Mwandosya ataka somo la mauaji ya kimbari shuleni
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya amesema Tanzania haina budi kuanzisha somo la mauaji ya kimbari kuanzia shule za awali, msingi hadi vyuo vikuu. Alisema kitendo hicho kitasaidia kuelimisha kizazi kijacho madhara ya yaliyotokea kwa majirani zetu na namna ya kuepukana nayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Mh. Mwandosya aongoza maadhimisho ya 20 ya mauaji ya Kimbari yaliyotokea nchini Rwanda jijini Dar
Maandamano yakiwa yameanza kuelekea ukumbi wa Mlimani City
Mmoja ya Waandamaji wa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya Rwanda ikiwa imetimia Miaka 20 akiwa amebeba Mwenge Maalum kwa ajili ya Maadhimisho.
Maandamano ya Kumbukumbu ya miaka 20 ya Mauaji ya Kimbari yaliyotokea mwaka 1994 yakiendelea kuelekea Ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya Maadhimisho hayo.
Baadhi ya Wanafunzi pamoja na watu wengine mbalimbali wakiwa wameshika mabango mbalimbali yanayo elezea siku ya kumbukumbu ya Mauaji...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s72-c/unnamed+(45).jpg)
MH. MWANDOSYA MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B3E-4EA36_U/U0TmMwWoPPI/AAAAAAAFZYc/EQ9p0S8eIWI/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/kimbari.jpg)
PROF. MARK MWANDOSYA AONGOZA MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Rwanda yakumbuka mauaji ya Kimbari
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Hofu ya mauaji ya kimbari CAR
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Maazimisho ya Miaka 21 ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari
![Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Eugene Kayihura wakiwasha mishumaa maalumu kuwakumbuka raia waliouwawa katika mauaji ya Kimbari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0202.jpg)
![Mratibu Mkazi wa UN, Alvaro Rodriguez akizungumza katika Maazimisho ya Miaka 21 ya kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Ubalozi wa Rwanda nchini Tanzania yamefanyika leo ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0248.jpg)
![Mgeni rasmi Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dr. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) akipata maelezo juu ya mwenendo wa mashauri toka ICTR mara baada ya kuwasili kwenye Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na Ubalozi wa Rwanda nchini Tanzania yamefanyika leo ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam wakiwa pichani.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_01251.jpg)