Kikwete awaonya Ulanga
RAIS Jakaya Kikwete amewatahadharisha wananchi wa Wilaya ya Ulanga kuwa wakizidi kulumbana kuhusu mipaka ya kuigawa wilaya hiyo bila kufikia maafikiano, watakosa wilaya mpya licha ya kuwa sehemu ya ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Kikwete awaonya viongozi wa dini
Na Kadama Malunde, Shinyanga
RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini kutoruhusu siasa kufanyika kwenye makanisa yao kwani hali hiyo italifanya taifa liingie kwenye machafuko.
Aliyasema hayo jana wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu mpya wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Liberatus Sangu, iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mama Mwenye Huruma la Ngokolo mjini hapa na kuongozwa na Askofu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.
Rais Kikwete...
10 years ago
Mwananchi26 May
Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Ulanga wachachamaa
WANANCHI wa Tarafa ya Malinyi Wilayani ya Ulanga mkoani Morogoro, wametaka kufahamu hatua zilizochukuliwa na Serikali baada ya mauaji ya kupigwa risasi kwa raia yanayodaiwa kufanywa na askari watatu wa...
10 years ago
Habarileo08 Jul
Ulanga wajivunia mafanikio
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro limejivunia kupata mafanikio makubwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ya uhai wake, kwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani na matumizi sahihi yaliyoharakisha maendeleo endelevu ya wananchi wa wilaya hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-op-l9n_EIp8/XsODaj8663I/AAAAAAALqu8/JB5YhXa290EgVuWIn-_K5plJ3kBrT5TmgCLcBGAsYHQ/s72-c/33b6aa4a-6d8e-4b40-a203-7a21f1d7c835.jpg)
SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...
9 years ago
TheCitizen28 Sep
Voters want Kombani in Ulanga for farewell
10 years ago
Habarileo08 Jul
Ulanga, Kilombero kufanywa mkoa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameeleza kuwa yapo mapendekezo ya kugawanywa kwa mkoa huo kwa kuzifanya wilaya za Ulanga na Kilombero kuwa mkoa mpya wa Ulanga.
9 years ago
Mwananchi23 Nov
CCM yaibuka kidedea Ulanga
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ulanga: Mchakato wa Katiba umetugawa Watanzania