Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Voters want Kombani in Ulanga for farewell

Some residents of Ulanga East say they cannot not afford the cost of transport to Morogoro town where their immediate former MP, Ms Celina Kombani, is expected to be buried tomorrow.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Ulanga residents mourn Kombani as body arrives

Residents of Ulanga East constituency said yesterday they had received the death of their Member of Parliament Celina Kombani, 56 (pictured), with “shock and sadness” considering the significant development she had contributed to their constituency.

 

9 years ago

GPL

TANZIA: MBUNGE WA ULANGA MASHARIKI, CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Celina Ompeshi Kombani enzi za uhai wake. Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Ompeshi Kombani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko nchini India. Bi. Celina Kombani alizaliwa Juni 19 mwaka 1959 na kufariki leo Septemba 24...

 

9 years ago

TheCitizen

CCM picks minister Kombani’s son for Ulanga East Bunge race

The ruling CCM has endorsed the son of former cabinet minister the late Celina Kombani to vie for Ulanga East parliamentary seat following the death of his mother two weeks ago.

 

10 years ago

TheCitizen

Zitto bids his voters farewell

>Kigoma North MP Zitto Kabwe yesterday left the public guessing on his next political move when he declared that he would not defend the seat in the October 2015 General Election.   But the firebrand politician, who has served as MP for 10 years, hinted that he would continue in an undeclared position that would enable him to extend his public service and the war against corruption. He was first elected in 2005, aged 29.   

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ulanga wachachamaa

WANANCHI wa Tarafa ya Malinyi Wilayani ya Ulanga mkoani Morogoro, wametaka kufahamu hatua zilizochukuliwa na Serikali baada ya mauaji ya kupigwa risasi kwa raia yanayodaiwa kufanywa na askari watatu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete awaonya Ulanga

RAIS Jakaya Kikwete amewatahadharisha wananchi wa Wilaya ya Ulanga kuwa wakizidi kulumbana kuhusu mipaka ya kuigawa wilaya hiyo bila kufikia maafikiano, watakosa wilaya mpya licha ya kuwa sehemu ya ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010.

 

10 years ago

Habarileo

Ulanga wajivunia mafanikio

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro limejivunia kupata mafanikio makubwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ya uhai wake, kwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani na matumizi sahihi yaliyoharakisha maendeleo endelevu ya wananchi wa wilaya hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yaibuka kidedea Ulanga

Chama cha mapinduzi (CCM) kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa ubunge Jimbo la Ulanga baada ya mgombea wake, Goodluck Mlinga kupata kura 25,902 sawa na asilimia 69.78 akiwashinda wapinzani wake katika uchaguzi uliofanyika jana wilayani Ulanga mkoa wa Morogoro.

 

10 years ago

Habarileo

Ulanga, Kilombero kufanywa mkoa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameeleza kuwa yapo mapendekezo ya kugawanywa kwa mkoa huo kwa kuzifanya wilaya za Ulanga na Kilombero kuwa mkoa mpya wa Ulanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani