Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulanga, Kilombero kufanywa mkoa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameeleza kuwa yapo mapendekezo ya kugawanywa kwa mkoa huo kwa kuzifanya wilaya za Ulanga na Kilombero kuwa mkoa mpya wa Ulanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mkuu wa Mkoa fanya ziara ya kushtukiza Hospital Ya Wilaya Ya Ulanga

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Wilaya ya Ulanga na kukuta malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya upungufu wa dawa na vifaa tiba hatua inavyokwamisha upatikanaji wa huduma bora kwenye hospitali hiyo.

Wananchi hao wamesema kwa muda mrefu hospitalihiyo imekuwa ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa kitendo kinachowaathiri kwani hulazimika kuingia kwenye maduka ya mitaani kwa ajili ya kutafuta dawa ambazo zinakosekana hospitalini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upasuaji matobo kufanywa ‘live’

WASHIRIKI wa warsha ya madaktari wa upasuaji watashuhudia moja kwa moja upasuaji wa matobo unavyofanyika, kama njia mojawapo ya kutoa elimu kwa vitendo. Naibu Mkurugenzi Mkuu na Daktari Bingwa wa...

 

11 years ago

GPL

USAFI WAANZA KUFANYWA ILALA SOKONI

Mfanya usafi akifagia takataka hizo na kuzikusanya sehemu moja. Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wengi kwamba mara kwa mara soko la Ilala, jijini Dar limekuwa likikaa katika hali ya uchafu kila wakati, viongozi wa soko wameanza kazi ya kulisafisha kila sikuna kulifanya lionekani safi wakati wote. Leo, kamera ya paparazi wetu imewanasa wafanya usafi wakiendelea kulisafisha soko hilo kwa kufagia na kuzikusanya takataka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Msako wa wagonjwa kufanywa S.Leone

Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone amesema kuwa msako unaanza kote nchini humo kuwatambua watu walio na ugonjwa wa ebola

 

11 years ago

Mwananchi

Kali za Ally Kiba kufanywa tofauti

>Mwanamuziki wa bongo fleva, Ally Kiba amesema [icha za video ya wimbo wake wa “Kimasomaso” zitachukuliwa nchini, wakati izle za “Mwana Dar es Salaam”, zitachukuliwa nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Kura za NFF kufanywa Septemba 30

Hatimaye mwenyekiti anayeondoka wa NFF Aminu Maigari aitisha uchaguzi Septemba 30.

 

11 years ago

Habarileo

Mchakato zabuni mashine ya bayometriki kufanywa upya

SERIKALI imesema mchakato wa zabuni kwa ajili ya ununuzi wa mashine za mfumo wa bayometriki utakaotumika Watanzania kusajiliwa upya katika Daftari la Wapiga Kura unaanza upya baada ya kubainika ule wa awali ulikuwa na makosa.

 

11 years ago

Habarileo

Kazi ya kusajili vizazi kufanywa na serikali za mitaa

WIZARA ya Katiba na Sheria imeanza kuboresha kazi ya kusajili vizazi kwa kugatua majukumu hayo kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Yafahamu mambo yasiyotakiwa kufanywa Siku ya Uchaguzi 25 Oktoba 2015 hapa

pic+nec

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Kailima Kombwey.

MAELEKEZO YA TUME SIKU YA UCHAGUZI.doc

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani