Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upasuaji matobo kufanywa ‘live’

WASHIRIKI wa warsha ya madaktari wa upasuaji watashuhudia moja kwa moja upasuaji wa matobo unavyofanyika, kama njia mojawapo ya kutoa elimu kwa vitendo. Naibu Mkurugenzi Mkuu na Daktari Bingwa wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UPASUAJI WA MATOBO LAPAROSCOPIA WAFANYIKA LIVE KAIRUKI HOSPITALI

 Daktari Bingwa wa upasuaji Dk. Muganyizi Kairuki akizungumza wakati wa semina ya upasuaji kwa njia  matobo Laparoscopia uliofanyika LIVE katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliwashirikisha madakatari wa ndani na nje ya nchi.  Daktari Bingwa wa upasuaji kutoka Afrka Kusini, Prof. Zacharia Koto (wa pili kulia), akisaidiana na daktari bingwa wa upasuaji kutoka Namibia Dk. S. Kaikai (kulia) na Dk. Muganyizi Kairuki wakimfanyia operesheni ya kuondoa mawe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Madaktari wazawa jifunzeni upasuaji wa matobo’

KUTOKANA na uhaba wa huduma za upasuaji kwa njia ya matobo nchini, madaktari wazawa 200 kutoka hospitali mbalimbali wameshauriwa kujifunza aina hiyo ya upasuaji inayopunguza gharama za wagonjwa wasio na...

 

11 years ago

Michuzi

HUDUMA YA UPASUAJI WA KUTUMIA MATOBO ‘LAPAROSCOPIA’ KAIRUKI HOSPITAL JIJINI DAR ES SALAAM

Madaktari wakianza kumfanyia Operesheni ya tumbo kwa ajili ya kuondoa mfuko wa nyongo, mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam kwa kutumia vifaa vya kisasa ambapo mgonjwa hufanyiwa upasuaji kwa njia ya matobo. Madaktari wakiendelea na upasuaji. Dokta Muganyizi Kairuki akifanya upasuaji huku akiangalia kwa kutumia kamera maalum wakati wa kufanya operesheni. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

WENGI WASIFIA HUDUMA YA UPASUAJI WA KUTUMIA MATOBO ‘LAPAROSCOPIA’ KAIRUKI HOSPITAL

Madaktari wakianza kumfanyia Operesheni ya tumbo kwa ajili ya kuondoa mfuko wa nyongo, mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam kwa kutumia vifaa vya kisasa ambapo mgonjwa hufanyiwa upasuaji kwa njia ya matobo. Madaktari wakiendelea na upasuaji.…

 

10 years ago

Habarileo

Ulanga, Kilombero kufanywa mkoa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameeleza kuwa yapo mapendekezo ya kugawanywa kwa mkoa huo kwa kuzifanya wilaya za Ulanga na Kilombero kuwa mkoa mpya wa Ulanga.

 

11 years ago

GPL

USAFI WAANZA KUFANYWA ILALA SOKONI

Mfanya usafi akifagia takataka hizo na kuzikusanya sehemu moja. Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wengi kwamba mara kwa mara soko la Ilala, jijini Dar limekuwa likikaa katika hali ya uchafu kila wakati, viongozi wa soko wameanza kazi ya kulisafisha kila sikuna kulifanya lionekani safi wakati wote. Leo, kamera ya paparazi wetu imewanasa wafanya usafi wakiendelea kulisafisha soko hilo kwa kufagia na kuzikusanya takataka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Msako wa wagonjwa kufanywa S.Leone

Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone amesema kuwa msako unaanza kote nchini humo kuwatambua watu walio na ugonjwa wa ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Kura za NFF kufanywa Septemba 30

Hatimaye mwenyekiti anayeondoka wa NFF Aminu Maigari aitisha uchaguzi Septemba 30.

 

11 years ago

Mwananchi

Kali za Ally Kiba kufanywa tofauti

>Mwanamuziki wa bongo fleva, Ally Kiba amesema [icha za video ya wimbo wake wa “Kimasomaso” zitachukuliwa nchini, wakati izle za “Mwana Dar es Salaam”, zitachukuliwa nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani