Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAFI WAANZA KUFANYWA ILALA SOKONI

Mfanya usafi akifagia takataka hizo na kuzikusanya sehemu moja. Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wengi kwamba mara kwa mara soko la Ilala, jijini Dar limekuwa likikaa katika hali ya uchafu kila wakati, viongozi wa soko wameanza kazi ya kulisafisha kila sikuna kulifanya lionekani safi wakati wote. Leo, kamera ya paparazi wetu imewanasa wafanya usafi wakiendelea kulisafisha soko hilo kwa kufagia na kuzikusanya takataka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala

Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.

Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...

 

9 years ago

StarTV

 Manispaa Ilala lawamani kwa uhaba wa vitendea kazi vya kufanya usafi

 

 

Wafanyabiashara wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wameitaka Manispaa hiyo kuongeza vifaa vya kuweka na kubeba uchafu ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa Mazingira na  ugonjwa wa kipindupindu unaohatarisha maisha ya wengi.

Wafanyabiashara hao wamesema iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa  suala la ujenzi holela, umwagaji maji taka katika mitaro ya wazi na utupwaji wa taka ovyo utazidi kushamiri.

 Startv ilizungumza na baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Kariakoo ambao...

 

9 years ago

Michuzi

MKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015

Mkoa wa Dodoma umeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli lililotaka kufanyika kwa usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya nchi siku ya tarehe 9 Disemba, 2015 kama mojawapo ya maadhimisho ya siku ya uhuru na kuwataka viongozi na wataalamu kusimamia utekelezaji wa agizo hilo. 
 Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...

 

11 years ago

GPL

TBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA

 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika  maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaa
 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upasuaji matobo kufanywa ‘live’

WASHIRIKI wa warsha ya madaktari wa upasuaji watashuhudia moja kwa moja upasuaji wa matobo unavyofanyika, kama njia mojawapo ya kutoa elimu kwa vitendo. Naibu Mkurugenzi Mkuu na Daktari Bingwa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Ulanga, Kilombero kufanywa mkoa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameeleza kuwa yapo mapendekezo ya kugawanywa kwa mkoa huo kwa kuzifanya wilaya za Ulanga na Kilombero kuwa mkoa mpya wa Ulanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Kura za NFF kufanywa Septemba 30

Hatimaye mwenyekiti anayeondoka wa NFF Aminu Maigari aitisha uchaguzi Septemba 30.

 

11 years ago

Mwananchi

Kali za Ally Kiba kufanywa tofauti

>Mwanamuziki wa bongo fleva, Ally Kiba amesema [icha za video ya wimbo wake wa “Kimasomaso” zitachukuliwa nchini, wakati izle za “Mwana Dar es Salaam”, zitachukuliwa nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Msako wa wagonjwa kufanywa S.Leone

Rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone amesema kuwa msako unaanza kote nchini humo kuwatambua watu walio na ugonjwa wa ebola

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani