SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-op-l9n_EIp8/XsODaj8663I/AAAAAAALqu8/JB5YhXa290EgVuWIn-_K5plJ3kBrT5TmgCLcBGAsYHQ/s72-c/33b6aa4a-6d8e-4b40-a203-7a21f1d7c835.jpg)
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC02101.jpg)
RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s640/DSC02101.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yhMdmJY4Oz0/XsTgYf02T3I/AAAAAAALq40/SmPKiukvaCcl0iwINBPca7pNL1zLNO41ACLcBGAsYHQ/s640/thumb_731_800x420_0_0_auto.jpg)
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...
10 years ago
MichuziKADA WA CCM OLIVIA SANARE ATUMIA SIKU YAKE YA KUZALIWA KUWAKUMBUKA WATOTO YATIMA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Ulanga wachachamaa
WANANCHI wa Tarafa ya Malinyi Wilayani ya Ulanga mkoani Morogoro, wametaka kufahamu hatua zilizochukuliwa na Serikali baada ya mauaji ya kupigwa risasi kwa raia yanayodaiwa kufanywa na askari watatu wa...
9 years ago
Habarileo28 Nov
RC Kilimanjaro amuokoa DC, DED
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala amewaokoa mkuu wa wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jamuhuri Wiliam kutoathiriwa na hasira za wananchi waliokuwa wakishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya Dar kwenda Moshi, eneo la Kileo wilayani Mwanga kwa madai ya kuchoshwa na ajali za mara kwa mara.
10 years ago
Habarileo21 Aug
Kikwete awaonya Ulanga
RAIS Jakaya Kikwete amewatahadharisha wananchi wa Wilaya ya Ulanga kuwa wakizidi kulumbana kuhusu mipaka ya kuigawa wilaya hiyo bila kufikia maafikiano, watakosa wilaya mpya licha ya kuwa sehemu ya ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Walimu wamvaa DED
WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ofisi ya DED yateketea
JENGO la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibondo limeteketea kwa moto.
10 years ago
Habarileo08 Jul
Ulanga wajivunia mafanikio
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro limejivunia kupata mafanikio makubwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ya uhai wake, kwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani na matumizi sahihi yaliyoharakisha maendeleo endelevu ya wananchi wa wilaya hiyo.
9 years ago
Habarileo08 Dec
RC awasimamisha kazi DED, maofisa 11
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahim Msengi amewasimamisha kazi maofisa waandamizi 11 wa Manispaa ya Mpanda akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wake, Suleiman Lukanga kwa ukiukwaji wa sheria za manunuzi kwa kufanya ubadhirifu fedha zaidi ya Sh milioni 92.8.