Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ofisi ya DED yateketea

JENGO la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibondo limeteketea kwa moto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

RC Kilimanjaro amuokoa DC, DED

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala amewaokoa mkuu wa wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jamuhuri Wiliam kutoathiriwa na hasira za wananchi waliokuwa wakishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya Dar kwenda Moshi, eneo la Kileo wilayani Mwanga kwa madai ya kuchoshwa na ajali za mara kwa mara.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wamvaa DED

WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Familia yateketea Moro

Siku moja baada ya watu 25 kuripotiwa kufa kwa ajali tofauti nchini ikiwamo iliyoua familia mkoani Singida, familia nyingine ya watu wanne imeteketea kwa moto ndani ya nyumba katika Kijiji cha Iputi wilayani Ulanga mkoani Morogoro.

 

5 years ago

Michuzi

SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA


Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wamsifu DED anayestaafu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa limesema bado linahitaji mchango wa Mkurugenzi wa halmashauri hiyo (DED), Bibie Mnyamagola ambaye anatarajia kustaafu Aprili 30, mwaka huu kwa mujibu wa sheria.

 

9 years ago

Habarileo

RC awasimamisha kazi DED, maofisa 11

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahim Msengi amewasimamisha kazi maofisa waandamizi 11 wa Manispaa ya Mpanda akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wake, Suleiman Lukanga kwa ukiukwaji wa sheria za manunuzi kwa kufanya ubadhirifu fedha zaidi ya Sh milioni 92.8.

 

11 years ago

GPL

NYUMBA YA MSANII WA FILAMU YATEKETEA

Ashura Rashid ‘Saladini’. NYUMBA ya msanii wa filamu za Kibongo aliyewahi kutamba na muvi kali ya Saladini, Ashura Rashid ‘Saladini’ imeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa, huku msanii huyo akihaha kusaka hifadhi kwa majirani, Chande Abdallah anakujuza. Tukio hilo lilitokea asubuhi ya Machi 6, mwaka huu maeneo ya Bugando jijini Mwanza wakati msanii huyo akiwa kwa majirani zake ambapo chanzo...

 

11 years ago

GPL

TOYOTA STARLET YATEKETEA NA MOTO

Gari aina ya Toyota Starlet limeungua moto siku ya jana Mji Mwema Kigamboni Dar es Salaam siku ya jana. Chanzo cha moto kilitokana na mafundi kuchomelea na Mtungi wa gesi kulipuka. (Picha na Global WhatsApp +255 753 715 779 : Gabriel…

 

10 years ago

Habarileo

Mabweni 3 shule ya wasichana yateketea

MABWENI matatu ya Shule ya Sekondari Nyansincha Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime mkoani Mara, yameteketea kwa moto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani