Ofisi ya DED yateketea
JENGO la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibondo limeteketea kwa moto.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Nov
RC Kilimanjaro amuokoa DC, DED
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala amewaokoa mkuu wa wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jamuhuri Wiliam kutoathiriwa na hasira za wananchi waliokuwa wakishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya Dar kwenda Moshi, eneo la Kileo wilayani Mwanga kwa madai ya kuchoshwa na ajali za mara kwa mara.
10 years ago
Habarileo30 Sep
Walimu wamvaa DED
WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Familia yateketea Moro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-op-l9n_EIp8/XsODaj8663I/AAAAAAALqu8/JB5YhXa290EgVuWIn-_K5plJ3kBrT5TmgCLcBGAsYHQ/s72-c/33b6aa4a-6d8e-4b40-a203-7a21f1d7c835.jpg)
SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...
11 years ago
Habarileo16 Apr
Madiwani wamsifu DED anayestaafu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa limesema bado linahitaji mchango wa Mkurugenzi wa halmashauri hiyo (DED), Bibie Mnyamagola ambaye anatarajia kustaafu Aprili 30, mwaka huu kwa mujibu wa sheria.
9 years ago
Habarileo08 Dec
RC awasimamisha kazi DED, maofisa 11
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahim Msengi amewasimamisha kazi maofisa waandamizi 11 wa Manispaa ya Mpanda akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wake, Suleiman Lukanga kwa ukiukwaji wa sheria za manunuzi kwa kufanya ubadhirifu fedha zaidi ya Sh milioni 92.8.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*7IAsxUaBt4P3Qxcy2kMfWPVplo2ntTbjmi0p7c9Pe*EVd0741GU2ewWaWMb6veDuVocMHo0L9ROX2PK4QSZvN/1moto3.jpg?width=650)
NYUMBA YA MSANII WA FILAMU YATEKETEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oto4-hHdKDG81LrU7*lvzyMsHPeL-XwEUPf-qtCfcEZCdN9Hj7lGd9OzE7e1SFVehhm6e91Hi53wlRjJTBdeuFRVGjCWPzO4/AJALI1.jpg?width=650)
TOYOTA STARLET YATEKETEA NA MOTO
10 years ago
Habarileo17 Sep
Mabweni 3 shule ya wasichana yateketea
MABWENI matatu ya Shule ya Sekondari Nyansincha Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime mkoani Mara, yameteketea kwa moto.