NYUMBA YA MSANII WA FILAMU YATEKETEA
![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*7IAsxUaBt4P3Qxcy2kMfWPVplo2ntTbjmi0p7c9Pe*EVd0741GU2ewWaWMb6veDuVocMHo0L9ROX2PK4QSZvN/1moto3.jpg?width=650)
Ashura Rashid ‘Saladini’. NYUMBA ya msanii wa filamu za Kibongo aliyewahi kutamba na muvi kali ya Saladini, Ashura Rashid ‘Saladini’ imeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa, huku msanii huyo akihaha kusaka hifadhi kwa majirani, Chande Abdallah anakujuza. Tukio hilo lilitokea asubuhi ya Machi 6, mwaka huu maeneo ya Bugando jijini Mwanza wakati msanii huyo akiwa kwa majirani zake ambapo chanzo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0A7sE7v*RMs1avDWJW80fTUQEC2jla42Qog6r99CD6Z-onYrKA67ZhLSQqhpbIIFH*ACZMzlrIJMprIaSmLTYOA/Ba2liHouse.gif?width=650)
NYUMBA YA BATULI YATEKETEA MOTO
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Nyumba ya Big Brother yateketea A.Kusini
10 years ago
GPL15 Sep
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
11 years ago
MichuziNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAFfqE9PXDQ/U8ULlNRDAPI/AAAAAAAF2UE/cWvvVv0Dir0/s1600/DSC_0128.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo
Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10