Wanachama 17 CCM wawania ubunge majimbo ya Dodoma
MAKADA 17 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania Ubunge katika Majimbo ya Dodoma Mjini, Mtera, Chilonwa, Mpwapwa na Kibakwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi14 Aug
10 years ago
Habarileo11 May
Bano awaonya wawania ubunge CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.
10 years ago
Habarileo10 Aug
Hatma ya wawania ubunge CCM wiki hii
CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeingia katika hatua za mwisho za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani kwa majina yote kufikishwa kwenye vikao vya juu kabisa vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyofanyika mjini hapa ili kujadiliwa na hatimaye kupitishwa.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Nape-Nnauye1.jpg)
ANGALIA MAJINA YA WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA NA MAJIMBO YAO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s72-c/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s640/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kamati kuu ya CCM Taifa yateua wagombea Ubunge katika majimbo mawili ya Singida Mashariki na Kiteto
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, Ofisi Ndogo Lumumba.
2015 – Nape – Press Conf – Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Sita Chadema wawania ubunge jimboni Chalinze
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNwJfJD0zYA/U54Azu5AwRI/AAAAAAAFq5c/yaukuCeka-A/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Shamra shamra za kupokea wanachama wapya wa CCM ELIMU-UDOM Makao Makuu ya CCM Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNwJfJD0zYA/U54Azu5AwRI/AAAAAAAFq5c/yaukuCeka-A/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
Vijimambo01 Sep
MGOMBEA MWENZA URAIS CCM AZUNGUMZA NA WANACHAMA UWT DODOMA
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0341.jpg)
![Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wakiwa katika mkutano na mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu jana katika Ukumbi wa NEC ofisi za makao Makuu ya CCM Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0318.jpg)
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_02091.jpg)