Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama 17 CCM wawania ubunge majimbo ya Dodoma

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaMAKADA 17 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania Ubunge katika Majimbo ya Dodoma Mjini, Mtera, Chilonwa, Mpwapwa na Kibakwe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bano awaonya wawania ubunge CCM

Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz BaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.

 

10 years ago

Habarileo

Hatma ya wawania ubunge CCM wiki hii

CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeingia katika hatua za mwisho za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani kwa majina yote kufikishwa kwenye vikao vya juu kabisa vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyofanyika mjini hapa ili kujadiliwa na hatimaye kupitishwa.

 

10 years ago

GPL

ANGALIA MAJINA YA WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA NA MAJIMBO YAO

TAARIFA RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI WA MAJIMBO NA VITI MAALUM KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA 2015 NA. MKOA WILAYA JIMBO ALIYETEULIWA 1. Arusha Arusha Mjini Arusha Ndugu Philemon Mollel Karatu Karatu Dkt. Wilbard…

 

10 years ago

Vijimambo

KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM


KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....

 

9 years ago

Dewji Blog

Kamati kuu ya CCM Taifa yateua wagombea Ubunge katika majimbo mawili ya Singida Mashariki na Kiteto

1

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, Ofisi Ndogo Lumumba.

2015 – Nape – Press Conf – Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015

 

11 years ago

Mwananchi

Sita Chadema wawania ubunge jimboni Chalinze

 Wanachama sita wa Chadema wamechukua fomu kuwania Ubunge wa Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mapema Aprili, mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

Shamra shamra za kupokea wanachama wapya wa CCM ELIMU-UDOM Makao Makuu ya CCM Dodoma

 Chama Cha Mapinduzi CCM kimevuna Wanachama wapya Zaidi ya mia moja kutoka chuo Kikuu UDOM.Wanachama hao wapya  ambao walipokelewa jana na kupe wakadi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe.Prof.Mark Mwandosya (Prof.Mwandosya ni Mlezi wa Tawi hilo) katika Hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa NEC Makao Makuu ya CCM wamejiunga na tawi la CCM-Elimu (School of Education) UDOM Pichani Mhe.Prof.Mark Mwandosya akizungumza na wanachama wapya wa CCM Tawi la Elimu-UDOM katika Ukumbi wa NEC...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA URAIS CCM AZUNGUMZA NA WANACHAMA UWT DODOMA

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo. Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo.Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wakiwa katika mkutano na mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu jana katika Ukumbi wa NEC ofisi za makao Makuu ya CCM Dodoma. Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wakiwa katika mkutano na mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu jana katika Ukumbi wa NEC ofisi za makao Makuu ya CCM Dodoma.Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo. Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani