Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi 10,500 wawania nafasi 70

KATIKA hali inayoashiria ukubwa wa tatizo la ajira katika sekta rasmi nchini, wasomi 10,500 wa ngazi ya Chuo Kikuu jana walijitokeza kwenye usaili wa Idara ya Uhamiaji nchini inayohitaji kuajiri watu 70 tu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

5 wawania umeya

KINYANG’ANYIRO cha kumsaka Meya wa Jiji la Arusha kinashika kasi kwani madiwani watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameonesha nia ya kuwania kiti cha Umeya wa Jiji la Arusha.

 

9 years ago

Habarileo

5 wawania umeya, makamu

MADIWANI watano kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Lindi Mjini mkoani hapa, wamejitokeza kuchukua fomu na kurudisha wakiwania ridhaa ya chama hicho kugombea nafasi ya Meya na makamu wake kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi huu katika Manispaa ya Lindi.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhamiaji, Mbweni wawania ubingwa

Ligi Daraja la Kwanza ya netiboli inafikia ukingoni huku timu za Uhamiaji na JKT Mbweni zikishinda mechi zake walizocheza jana na juzi jioni na Polisi Kigoma na Polisi Shinyanga wakionekana kuvurunda kwenye ligi hiyo kutokana na kupoteza tena michezo yake.

 

10 years ago

Raia Mwema

Tuwaulize wawania urais maswali magumu

NIANZE makala hii kwa kuomba radhi kutokana na kushindwa kuwaletea makala katika toleo lililopita

Evarist Chahali

 

9 years ago

Mwananchi

Saba CCM wawania umeya Tabora

Madiwani saba wamejitokeza kuwania umeya wa Manispaa ya Tabora, huku watano wakiutaka unaibu meya ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

GPL

WAWANIA USPIKA WAANZA KUCHUKUA FOMU

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib mara...

 

10 years ago

Habarileo

Bano awaonya wawania ubunge CCM

Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz BaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha kimewaonya makada wake waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kuacha tabia ya kuchafuana na kuanza kampeni kabla ya muda.

 

10 years ago

Habarileo

Kiama wawania Urais CCM leo

Kamati Kuu ya CCM.KAMATI Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani