Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rio: Rooney apewe unahodha

Rio Ferdinand anaamini kuwa mshambuliaji Wayne Rooney anafaa kuwa mrithi wa Steven Gerrard katika nafasi ya unahodha wa timu ya taifa ya England, lakini pia anaona ushindani uliopo kutoka kwa Joe Hart.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Babi aukwaa unahodha

Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim ‘Babi’ amelamba dume baada ya kuteuliwa kuwa nahodha katika klabu yake ya UITM.FC.

 

10 years ago

Michuzi

Bwana Apewe Sifa na Kuinuliwa

Wapendwa Watanzania na marafiki popote pale duniani,
Kwa niaba ya uongozi wa Tanzania Global Prayer Movement (TGPM) natoa shukrani za dhati kwa wale wote waliojiunga nasi kwenye maombi ya Jumapili hii na siku zote kuanzia Jumapili July 26 tukiombea utakaso wa kiti cha Raisi, Ikulu, viti vya wabunge na madiwani pamoja na amani wakati vyama vinajipanga sawa sawa na uchaguzi.
Yafuatayo ndiyo tunayoendelea kuombea mpaka siku ya Jumapili Agosti 9 ambapo itakuwa hitimisho la wiki tatu kuombea haya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Moyes : Van gaal apewe muda

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe ataka JK apewe Tuzo ya Katiba

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Yusuph Manyanga amependekeza Bunge hilo na Serikali kuandaa tuzo maalumu ya kumpatia aliyekuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wataka Sokwe apewe haki za kibinadamu

Sokwe hawana haki sawa na binadamu na wala sio lazima wanyama hao kuachiwa huru na wale wanaowafuga. Hii ni kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke alivyokubali mtoto apewe jina la Arsenal

Shabiki mmoja wa Arsenal alifanikiwa kumshawishi mkewe wampe mtoto wao jina la Arsenal bila mwanamke huyo kugundua hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr aomba Simba apewe kipa mpya

Klabu ya Simba inahaha kusaka kipa mpya mzoefu atayesaidiana na Ivo Mapunda baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kubaini upungufu mkubwa katika nafasi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Majimaji ataka apewe miezi mitatu

Licha ya kusema timu yake iko tayari kwa Ligi Kuu, kocha mkuu wa Majimaji, Mika Lonnstrom amekiri kuwa bado kikosi chake hakijawa na ubora anaoutaka, ila amejipa miezi mitatu ili timu hiyo iwe fiti kwa asilimia 100.

 

10 years ago

Mwananchi

Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya

Mahakama Kuu ya Kenya imeliamuru Baraza Kuu la Mitihani nchini humo (KNEC), libadilishe jina kwenye cheti cha mlalamikaji wa kiume ambaye amekuwa akipigania atambuliwe kuwa mwanamke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani