Rio: Rooney apewe unahodha
Rio Ferdinand anaamini kuwa mshambuliaji Wayne Rooney anafaa kuwa mrithi wa Steven Gerrard katika nafasi ya unahodha wa timu ya taifa ya England, lakini pia anaona ushindani uliopo kutoka kwa Joe Hart.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Babi aukwaa unahodha
Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Kassim ‘Babi’ amelamba dume baada ya kuteuliwa kuwa nahodha katika klabu yake ya UITM.FC.
10 years ago
MichuziBwana Apewe Sifa na Kuinuliwa
Wapendwa Watanzania na marafiki popote pale duniani,
Kwa niaba ya uongozi wa Tanzania Global Prayer Movement (TGPM) natoa shukrani za dhati kwa wale wote waliojiunga nasi kwenye maombi ya Jumapili hii na siku zote kuanzia Jumapili July 26 tukiombea utakaso wa kiti cha Raisi, Ikulu, viti vya wabunge na madiwani pamoja na amani wakati vyama vinajipanga sawa sawa na uchaguzi.
Yafuatayo ndiyo tunayoendelea kuombea mpaka siku ya Jumapili Agosti 9 ambapo itakuwa hitimisho la wiki tatu kuombea haya...
Kwa niaba ya uongozi wa Tanzania Global Prayer Movement (TGPM) natoa shukrani za dhati kwa wale wote waliojiunga nasi kwenye maombi ya Jumapili hii na siku zote kuanzia Jumapili July 26 tukiombea utakaso wa kiti cha Raisi, Ikulu, viti vya wabunge na madiwani pamoja na amani wakati vyama vinajipanga sawa sawa na uchaguzi.
Yafuatayo ndiyo tunayoendelea kuombea mpaka siku ya Jumapili Agosti 9 ambapo itakuwa hitimisho la wiki tatu kuombea haya...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Moyes : Van gaal apewe muda
Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Mjumbe ataka JK apewe Tuzo ya Katiba
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Yusuph Manyanga amependekeza Bunge hilo na Serikali kuandaa tuzo maalumu ya kumpatia aliyekuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu Ameir Kificho.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Wataka Sokwe apewe haki za kibinadamu
Sokwe hawana haki sawa na binadamu na wala sio lazima wanyama hao kuachiwa huru na wale wanaowafuga. Hii ni kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama nchini Marekani.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mwanamke alivyokubali mtoto apewe jina la Arsenal
Shabiki mmoja wa Arsenal alifanikiwa kumshawishi mkewe wampe mtoto wao jina la Arsenal bila mwanamke huyo kugundua hilo.
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kerr aomba Simba apewe kipa mpya
Klabu ya Simba inahaha kusaka kipa mpya mzoefu atayesaidiana na Ivo Mapunda baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kubaini upungufu mkubwa katika nafasi hiyo.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Kocha Majimaji ataka apewe miezi mitatu
Licha ya kusema timu yake iko tayari kwa Ligi Kuu, kocha mkuu wa Majimaji, Mika Lonnstrom amekiri kuwa bado kikosi chake hakijawa na ubora anaoutaka, ila amejipa miezi mitatu ili timu hiyo iwe fiti kwa asilimia 100.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya
Mahakama Kuu ya Kenya imeliamuru Baraza Kuu la Mitihani nchini humo (KNEC), libadilishe jina kwenye cheti cha mlalamikaji wa kiume ambaye amekuwa akipigania atambuliwe kuwa mwanamke.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania