Wataka Sokwe apewe haki za kibinadamu
Sokwe hawana haki sawa na binadamu na wala sio lazima wanyama hao kuachiwa huru na wale wanaowafuga. Hii ni kwa mujibu wa uamuzi wa mahakama nchini Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
IS ilikiuka haki za kibinadamu Syria
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu
MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s640/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9e835e81-624d-400a-bfbf-64bef98dc92e.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
11 years ago
Habarileo13 Aug
Wajumbe wataka haki za wanaume
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wamependekeza suala la Haki za Wanaume liongezwe kwenye Rasimu ya Katiba Mpya. Mapendekezo hayo yametokana na majadiliano yaliyofanywa kwenye Kamati Namba Tisa ya Bunge hilo, wakati ikijadili ibara mbalimbali za Sura ya Pili na ya Tatu ya Rasimu ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba.
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
CHADEMA wataka Polisi kutenda haki
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelitaka Jeshi la Polisi mkoani hapa kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa katika kudhibiti misafara mirefu ya magari, pikipiki na aina yoyote ya...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Haki za binamu wataka kuisaidia ZEC
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesema iko tayari kushirikiana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kuchunguza tuhuma zilizotajwa na tume hiyo kuchangia kuvuruga uchaguzi na kuzitafutia ufumbuzi ili kulinda haki za binadamu na misngi ya utawala bora.
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Wataka haki za binadamu ziingizwe kwenye Katiba
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Wajumbe wataka haki za wanaume Katiba mpya
![Mwenyekiti wa Kamati namba tisa (9) ya Bunge Maalum la Katiba, Kidawa Hamid Salehe.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kidawa-Hamid-Salehe.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati namba tisa (9) ya Bunge Maalum la Katiba, Kidawa Hamid Salehe.
NA DEBORA SANJA, DODOMA
KAMATI namba tisa ya Bunge Maalumu la Katiba, imesema kuna haja ya kuongeza ibara mpya katika sura ya nne ya Rasimu ya Katiba itakayozungumzia haki za wanaume.
Mbali na hilo, wajumbe wa Bunge hilo walitaka Katiba ieleze Tanzania inaongozwa na itikadi gani kati ya ujamaa na ubepari.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kidawa Hamis Salehe,...