Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bahanuzi, Omega hao Ndanda

Nyota wa Yanga, Said Bahanuzi, Omega Seme na Hamisi Thabit wako mbioni kutua Ndanda FC kwa mkopo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bahanuzi amwonyesha Dida

Said Bahanuzi

Said Bahanuzi

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.

Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.

Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...

 

9 years ago

Habarileo

Bahanuzi, Javu moto Mtibwa

WASHAMBULIAJI Said Bahanuzi na Hussein Javu wanatarajiwa kuwa mwiba mchungu kwa timu pinzani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015-2016 inayotarajiwa kuanza kesho, kwa mujibu wa kocha Mecky Maxime.

 

11 years ago

GPL

Bahanuzi arudi Bongo kama alivyoondoka

Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi amemaliza majaribio yake ya wiki moja aliyokwenda kufanya nchini Malaysia katika Klabu za Teregganu na T-Team ambapo amerejea nchini. Bahanuzi aliondoka nchini Alhamisi iliyopita kuelekea nchini humo kwenda kufanya majaribio ya wiki moja kwa ajili ya kucheza soka la kulipwa. Akizungumza na Championi Ijumaa, Msemaji wa Yanga, Baraka...

 

10 years ago

GPL

Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga

Straika wa Polisi Moro, Said Bahanuzi. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
STRAIKA wa Polisi Moro, Said Bahanuzi ambaye yupo kwenye kiwango kizuri, amefunguka rasmi kuwa, yupo tayari kuichezea Simba ikiwa klabu hiyo itamfuata na kufikia makubaliano naye.Bahanuzi ambaye anaichezea Polisi kwa mkopo akitokea Yanga, amesema kuwa mkataba wake unaelekea mwishoni na kama Simba au klabu nyingine yoyote itakuwa inamhitaji, yupo tayari kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata

Kiungo Abdi Kasim ‘Babi’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea klabu ya UITM.FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Malaysia.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: Tume ya Warioba si Alpha na Omega

NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, amesema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba si Alpha na Omega, kiasi cha...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

AEW news: Matt Hardy would love to have a match against Kenny Omega

AEW news: Matt Hardy would love to have a match against Kenny Omega  GIVEMESPORTMatt Hardy Talks Which Top AEW Star He Wants To Face, Speaking With Multiple Companies, Triple H  Wrestling Inc.Matt Hardy Says It's A Good Thing To Separate Himself From Jeff Hardy Right Now  Ringside NewsMatt Hardy Says He Spoke with Triple H About NXT Amid AEW Buzz, Reveals Timeline  Bleacher ReportRoderick Strong teases a match with returning former WWE Champion  SportskeedaView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Jambo Squad, Young Omega, Ruff G, J Deal — Kanuna[MyWoman]

Kundi la JamboSquad kutoka mkoani Arusha wametoa Remix ya “My Woman” huu wimbo wao unaitwa “Kanuna” wamewashirikisha Young Omega, Ruff G, J Deal. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani