Bahanuzi, Omega hao Ndanda
Nyota wa Yanga, Said Bahanuzi, Omega Seme na Hamisi Thabit wako mbioni kutua Ndanda FC kwa mkopo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Bahanuzi amwonyesha Dida
![Said Bahanuzi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Bahanuzi.jpg)
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Bahanuzi, Javu moto Mtibwa
WASHAMBULIAJI Said Bahanuzi na Hussein Javu wanatarajiwa kuwa mwiba mchungu kwa timu pinzani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015-2016 inayotarajiwa kuanza kesho, kwa mujibu wa kocha Mecky Maxime.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUco3c8upNx90UznuWar6MHDGRcqp1fFchUjZ74nj9UjxA1LXppjG6XFy5HN4rHh-W0XrreHOrFWu6wwVUxVRq4d9/AdebayorYangaFC.jpg?width=640)
Bahanuzi arudi Bongo kama alivyoondoka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3s522seVcCy7kz-uebBhLmUicSJaEqjeM6W6tsONtu2qpjBD8nnHccLofpmpVkc*a6E5wjF6FuXA8eHKsGxI-jx/1.jpg?width=650)
Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata
11 years ago
Michuzi05 May
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
UVCCM: Tume ya Warioba si Alpha na Omega
NAIBU Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, amesema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba si Alpha na Omega, kiasi cha...
5 years ago
GIVEMESPORT08 Mar
AEW news: Matt Hardy would love to have a match against Kenny Omega
9 years ago
Bongo504 Oct
Music: Jambo Squad, Young Omega, Ruff G, J Deal — Kanuna[MyWoman]