Bahanuzi arudi Bongo kama alivyoondoka
![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUco3c8upNx90UznuWar6MHDGRcqp1fFchUjZ74nj9UjxA1LXppjG6XFy5HN4rHh-W0XrreHOrFWu6wwVUxVRq4d9/AdebayorYangaFC.jpg?width=640)
Mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi. Na Khadija Mngwai MSHAMBULIAJI wa Yanga, Said Bahanuzi amemaliza majaribio yake ya wiki moja aliyokwenda kufanya nchini Malaysia katika Klabu za Teregganu na T-Team ambapo amerejea nchini. Bahanuzi aliondoka nchini Alhamisi iliyopita kuelekea nchini humo kwenda kufanya majaribio ya wiki moja kwa ajili ya kucheza soka la kulipwa. Akizungumza na Championi Ijumaa, Msemaji wa Yanga, Baraka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Stara arudi kwenye muziki wa Bongo Fleva
“Nimeamua kurudi nilipotekea, najua mashabiki zangu wengi watakuwa wakikumbukua jinsi gani nilikuwa nafanya vizuri,” alisema Stara.
Alisema wimbo huo utaweza kuonyesha jinsi gani amezaliwa na...
10 years ago
GPLKINARA WA TMT, MWANAAFA MWINZAGO ALIVYOONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac405kV7-n-kdbWIUEWU-8Ey8LrGutOXn5cJBZKU6-H67PP7b*sXZXSzVSqkuLWsyS*WtoRhU50GgRVCb2O-RE6/MAMAWEMA.jpg)
KAMA NAMSOMA NAY WA MITEGO KUHUSU BONGO MOVIES!
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Hakuna Komediani Kama Mimi Bongo- Asha Boko
MCHEKESHAJI wa Kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.
“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja lakini naye...
10 years ago
Mtanzania22 May
BATULI: Kanumba kama kaacha laana kwenye filamu za bongo
NA FESTO POLEA
APRILI 7 mwaka 2012 tasnia ya filamu ilipatwa na majonzi makubwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mwigizaji nguli, Steven Kanumba, ambaye alikuwa kipenzi cha wengi ndani na nje ya nchi.
Licha ya wengi kutokuamini kwa muda huo, baada ya muda ikagundulika kweli amefariki, hivyo majonzi zaidi yakarindima, huku kila mtu akisema lake kuhusu kifo hicho.
Baada ya mazishi yake mashabiki walijipa matumaini kwamba tasnia hiyo licha ya kumpoteza mwigizaji huyo ingeendelea vema kutokana na...
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Bahanuzi amwonyesha Dida
![Said Bahanuzi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Bahanuzi.jpg)
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
ZEE LA NYETI: ...kama vipi bora mkoa, bongo ishaanza kuboa
10 years ago
Vijimambo03 Oct
KAMA ULIKUWA UJUHI HABARI NDIYO HII HUKO BONGO MJINI
![](https://scontent-b-ord.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/s851x315/10689690_704469759636704_7527626341312350488_n.jpg?oh=c98be23cc62b04ff610e713146a6c627&oe=54BD8EFF)