Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna Komediani Kama Mimi Bongo- Asha Boko

MCHEKESHAJI wa Kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.

“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja lakini naye...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hizi Ndizo Tambo za Asha Boko Kwa Komediani wa Hapa Bongo

Staa wa Bongo Movies ambaye ni moja kati ya wachekeshaji wakongwe, Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.

“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja...

 

10 years ago

GPL

KOMEDIANI ASHA BOKO, TAUSI WATINGA ‘LIVE’ GLOBAL TV ONLINE

Asha Boko na Tausi wakijibu maswali ya watazamaji wa kipindi cha 'Exclusive Interview' cha Global TV Online. Asha Boko akijibu swali la mtazamaji. Tausi naye akijibu maswali aliyoulizwa na watazamaji. WASANII wachekeshaji (komediani) maarufu nchini, Asha Boko na Tausi, leo wamefanya…

 

9 years ago

BBCSwahili

'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza kilabu hiyo licha ya mabingwa hao watetezi wa ligi ya Uingereza kushindwa vibaya katika kipindi cha miaka 29.

 

10 years ago

GPL

ASHA BOKO AIMBISHWA ‘TOILET’

Stori: Richard Bukos
Msanii maarufu wa komedi, Asha Mzuzuri maarufu kama Asha Boko, Alhamisi ya wiki iliyopita alinaswa na kamera yetu akiimbishwa na njemba eneo la choo cha wanawake ndani ya Ukumbi wa Mango Garden jijini Dar es Salaam siku ambayo Mashauzi Classic ilikuwa ikitoa burudani. Msanii maarufu wa komedi, Asha Mzuzuri maarufu kama Asha Boko akiwa na njemba eneo la choo cha wanawake. Katika tukio hilo paparazi wetu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Nyuma ya Kamera: Yusuph Mlela Akiwa na Asha Boko Wakifanya Yao

Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa wakati wa utengenezaji wa Movie mpya itakayojumuisha mastaa kadhaa wakiwemo, Yusuph Mlela na Asha Boko.

Jina la Movie na itatoka lini? Bado havijawekwa wazi.

Kwauzoefu wako na uelewa wako unadhani movie hii itakuwa ni ya namna gani? Mlela na Asha Boko wamecheza kwenye movie hii wakiwa na mahusiano ya namna gani?

 

10 years ago

Bongo Movies

Manaiki: Mimi Kama James Cameron

MANAIKI Sanga mtayarishaji na mwigizaji wa filamu amesema kuwa wakati anaandaa filamu yake ya Wake Up alijikuta akitumia fedha zake nyingi kuishiwa na kujifanananisha na mtayarisha aghari Dunia James Cameron ilitumia fedha nyingi na kuishiwa na kuingia katika madeni alipotengeneza filamu ya Titanic.

“Nilitumia fedha nyigi sana katika kuandaa filamu ya Wake Up kwa sababu nilidhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu sikukata tamaa kwani ilikuwa ni filamu yenye bajeti kubwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hakuna kama Ronaldo

MWANASOKA Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Cristiano Ronaldo amezidi kuthibitisha uhatari wake mbele ya lango, baada ya usiku wa kuamkia jana kufunga mabao matatu ‘hat-trick’...

 

9 years ago

Mwananchi

Hakuna maendeleo kama hatujaelimika

Maendeleo yanahusiana moja kwa moja na elimu. Maana elimu ndiyo inayokuza michepuo ya akili ya binadamu aweze kubuni, kutenda, kuvumbua, kutengeneza vitu mbalimbali na kupata ufumbuzi wa matatizo yanayomkabili.

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani