Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manaiki: Mimi Kama James Cameron

MANAIKI Sanga mtayarishaji na mwigizaji wa filamu amesema kuwa wakati anaandaa filamu yake ya Wake Up alijikuta akitumia fedha zake nyingi kuishiwa na kujifanananisha na mtayarisha aghari Dunia James Cameron ilitumia fedha nyingi na kuishiwa na kuingia katika madeni alipotengeneza filamu ya Titanic.

“Nilitumia fedha nyigi sana katika kuandaa filamu ya Wake Up kwa sababu nilidhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu sikukata tamaa kwani ilikuwa ni filamu yenye bajeti kubwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza kilabu hiyo licha ya mabingwa hao watetezi wa ligi ya Uingereza kushindwa vibaya katika kipindi cha miaka 29.

 

11 years ago

GPL

DENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI

Kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anyesumbuliwa na uvimbe. Ni mateso makubwa.
Kwa karibu miaka 17 sasa, kijana Amos Ng’arare Sasi mwenye umri wa miaka 21, mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, Musoma vijijni anataabika kwa ugonjwa ambao umempeleka katika hospitali nyingi bila mafanikio. Kama angeendelea na masomo yake vizuri, hivi...

 

11 years ago

GPL

JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!

Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini’ . Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi? Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hakuna Komediani Kama Mimi Bongo- Asha Boko

MCHEKESHAJI wa Kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.

“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja lakini naye...

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond

Mwakilishi wa mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham ameiambia Daily Mail kuwa staa huyo hana mpango wowote wa kuigiza kama James Bond. Winga huyo wa zamani wa Manchester United amekanusha ripoti zilizosambaa kuwa ana mpango wa kugombea nafasi ya kuigiza kama James Bond mwakani, licha ya kuwa mashabiki wamejaribu pia kumuomba afanye hivyo. […]

 

11 years ago

Michuzi

hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania

Swali muhimu tunaloulizwa Watanzania tunaoishi ughaibuni ni: tunataka nini hasa kwenye katiba mpya? Na ni kwa namna gani tunataka changamoto zetu ziingizwe kwenye katiba mpya? Katika kipindi hiki cha Bunge Maalumu la Katiba tumeonelea ni muafaka kuyapatia majibu maswali haya.
Kwa kuanzia na bila kupoteza muda, Watanzania wa ughaibuni tunataka masuala yafuatayo yaingizwe kwenye katiba mpya: ·      Uraia wa nchi mbili; ·      Haki ya kurudi Tanzania kwa Watanzania na Watu wenye asili ya...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee

Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]

 

9 years ago

Bongo5

Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino

Rapper Black Rhino ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao tayari wameanzisha familia. Rhino ameoa na ana mtoto mmoja wa kike. Akizungumzia upande wa pili wa maisha yake mbali na muziki, Black Rhino ambaye ni mdogo wa Professor Jay a.k.a ‘mbunge mtarajiwa’, amesema kuwa licha ya kuoa miaka mitatu iliyopita lakini anajiona alichelewa sana. “Mimi […]

 

11 years ago

Michuzi

aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...

Kwa muda wa wiki sasa Watanzania tunaoishi ughaibuni tumekuwa tukiendesha kampeni yakuelimisha umma kuhusu maombi yetu ya kupatiwa haki ya kikatiba ya kuwa na uraia pacha. “Mimi ni Mtanzania” ni ukweli uliopo kwa mtu yeyote mwenye asili ya Tanzania bila ya kujali anaishi Tanzania au ughaibuni.  Leo tunapenda kutoa wito kwa serikali, kwa Bunge Maalumu la Katiba na kwa vyama vyote vya kisiasa katika jitihada zetu za kuwasilisha maombi yetu ya uraia pacha kwenye Bunge Maalumu la Katiba ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani