Manaiki: Mimi Kama James Cameron
MANAIKI Sanga mtayarishaji na mwigizaji wa filamu amesema kuwa wakati anaandaa filamu yake ya Wake Up alijikuta akitumia fedha zake nyingi kuishiwa na kujifanananisha na mtayarisha aghari Dunia James Cameron ilitumia fedha nyingi na kuishiwa na kuingia katika madeni alipotengeneza filamu ya Titanic.
“Nilitumia fedha nyigi sana katika kuandaa filamu ya Wake Up kwa sababu nilidhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia ya filamu sikukata tamaa kwani ilikuwa ni filamu yenye bajeti kubwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
'Hakuna bora kama mimi',Mourinho ajigamba
11 years ago
GPLDENTI: HATA MIMI NILIPENDA KUWA KAMA NINYI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYg5Hkfi1kX8pVqfmtQY3vr2MsI3eeX0jM-fligDo5rMceWqGxb3Z86i*9lToN4pF8LY0Gs06vm22yQGE492*QO/jde.jpg)
JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Hakuna Komediani Kama Mimi Bongo- Asha Boko
MCHEKESHAJI wa Kike katika tasnia ya filamu Swahilihood Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.
“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja lakini naye...
9 years ago
Bongo509 Sep
David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond
11 years ago
Michuzi18 Feb
hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania
Kwa kuanzia na bila kupoteza muda, Watanzania wa ughaibuni tunataka masuala yafuatayo yaingizwe kwenye katiba mpya: · Uraia wa nchi mbili; · Haki ya kurudi Tanzania kwa Watanzania na Watu wenye asili ya...
9 years ago
Bongo508 Oct
Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee
9 years ago
Bongo523 Oct
Nawashauri vijana wenzangu waoe mapema kama mimi — Black Rhino
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s72-c/d9.jpg)
aluta kontinyua: hoja ya haja: Mimi wa Ughaibuni kama Diaspora pia ni Mtanzania...
![](http://2.bp.blogspot.com/-h9JSNtCgYWE/UwT1zNz5YrI/AAAAAAAFOFY/1vcPP7v1_UM/s1600/d9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ksZwlT39rZs/UwT1yk7T80I/AAAAAAAFOFM/xdzv2N_as4s/s1600/d12.jpg)