Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee
Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel
![12224533_1614153525517612_411958139_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224533_1614153525517612_411958139_n-300x194.jpg)
Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.
Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.
“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.
“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...
10 years ago
Bongo529 Dec
New Video: Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel, AVID — WCD
10 years ago
Bongo530 Jan
Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako
9 years ago
Bongo517 Dec
Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika
![timbaland](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/timbaland-300x194.jpg)
Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.
Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.
Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.
“It’s been a while since I’ve been able...
9 years ago
Bongo511 Dec
Jux na Vanessa Mdee wana ngoma nne walizorekodi pamoja
![Jux n vee-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Jux-n-vee-1-300x194.jpg)
Jux na Vanessa Mdee wamesharekodi nyimbo nne pamoja.
Jux ambaye wiki hii ameachia video ya wimbo wake ‘One More Night’ amesema nyimbo hizo zitaanza kutoka mwakani.
“Tumerekodi nyimbo kama nne zipo studio. Muda ukifika hata mwakani zitatoka. Management ya Vanessa ikiwa tayari kutoa na management yangu ikisema tayari tutoe tutashoot video na baadaye utatoka,” Jux amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
10 years ago
Bongo511 Sep
Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee
9 years ago
Bongo512 Oct
Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Kampuni ya kielectroniki ya SAMSUNG yamtangaza Vanessa Mdee kama balozi wa kampuni hiyo
Kampuni ya kielektroniki ya Samsung kwa mara ya kwanza imehusisha kampuni hiyo na msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania. Leo hii, Kampuni namba moja duniani inayoongoza kwa technolojia ya hali ya juu, Samsung wanayo furaha kumtangaza balozi wao mpya mwanamziki nyota, na mtangazaji wa Televisheni na radio Vanessa Mdee.
Katika mkutano na wanahabari ulilofanyika hoteli, ya Hyatt Regency, iliyoko mjini Dar es Salaam iliohusisha kusaini kwa mkataba baina ya Vannesa Mdee na uongozi wa kampuni...
9 years ago
Bongo529 Oct
Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote