Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee

Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel

12224533_1614153525517612_411958139_n

Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.

12224533_1614153525517612_411958139_n

Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.

“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.

“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel, AVID — WCD

Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel na AVID wameamua kuungana pamoja na kutengeneza zawadi ya pamoja ya kufungia mwaka 2014 na kuukaribisha 2015. Wimbo huu wenye dakika 2 na sekunde 43 unaitwa WCD, kwa kirefu ‘Wave. Clap.Dance’ ambao video yake imeongozwa na Hanscana.

 

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika

timbaland

Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.

timbaland

Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.

Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.

“It’s been a while since I’ve been able...

 

9 years ago

Bongo5

Jux na Vanessa Mdee wana ngoma nne walizorekodi pamoja

Jux n vee-1

Jux na Vanessa Mdee wamesharekodi nyimbo nne pamoja.

Jux n vee-1

Jux ambaye wiki hii ameachia video ya wimbo wake ‘One More Night’ amesema nyimbo hizo zitaanza kutoka mwakani.

“Tumerekodi nyimbo kama nne zipo studio. Muda ukifika hata mwakani zitatoka. Management ya Vanessa ikiwa tayari kutoa na management yangu ikisema tayari tutoe tutashoot video na baadaye utatoka,” Jux amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

Bongo5

Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee

Mwimbaji wa R&B Jux ameendelea kukana tetesi za kuwa na uhusiano na Vanessa Mdee aka Vee money , ambao wameonekana kuwa karibu sana kwa siku za karibuni. Tetesi hizo zimepelekea watu kuhisi kuwa wimbo wake mpya ‘Sisikii’ alioutoa wiki hii amemuimbia Vanessa. Hii si mara ya kwanza kwa Jux kusemekana kutoa wimbo ambao amemwimbia msichana, […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz

Hii itakuwa ni wiki nzuri sana kwa Vanessa Mdee ambaye weekend iliyopita alifanikiwa kushinda tuzo ya Afrimma huko Dallas, Marekani pamoja na kuachia wimbo mpya ‘Never Ever’ na video yake. Vee Money ambaye amewashinda Victoria Kimani, Juliana Kanyomozi na Khadija Kopa kwenye kipengele cha ‘Best Female East Africa’, ametoa ushauri kwa wasanii wengine wa Tanzania […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya kielectroniki ya SAMSUNG yamtangaza Vanessa Mdee kama balozi wa kampuni hiyo

signing-contracts-Swahili

Kampuni ya kielektroniki ya Samsung kwa mara ya kwanza imehusisha kampuni hiyo na msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania. Leo hii, Kampuni namba moja duniani inayoongoza kwa technolojia ya hali ya juu, Samsung wanayo furaha kumtangaza balozi wao mpya mwanamziki nyota, na mtangazaji wa Televisheni na radio Vanessa Mdee.

Katika mkutano na wanahabari ulilofanyika hoteli, ya Hyatt Regency, iliyoko  mjini Dar es Salaam iliohusisha kusaini kwa mkataba baina ya Vannesa Mdee na uongozi wa kampuni...

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani