Bahanuzi amwonyesha Dida
Said Bahanuzi
Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Said Bahanuzi, ameendeleza kuonesha cheche zake za kurejea kwenye moto wake wa mwaka juzi, kwani jana alimuonesha cha moto kipa wa timu hiyo, Deogratius Munishi ‘Dida’.
Bahanuzi alimpigia mashuti makali Dida, ambayo alishindwa kuyadaka, huku mawili kati ya hayo yakigonga mwamba wa juu na kujaa wavuni, jambo ambalo liliamsha hisia za mashabiki wa Yanga na kumsifia.
Mashabiki hao waliokuwa wakichungulia mazoezi ya Yanga kwa nje sambamba na MTANZANIA...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Bahanuzi, Javu moto Mtibwa
WASHAMBULIAJI Said Bahanuzi na Hussein Javu wanatarajiwa kuwa mwiba mchungu kwa timu pinzani kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015-2016 inayotarajiwa kuanza kesho, kwa mujibu wa kocha Mecky Maxime.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Bahanuzi, Omega hao Ndanda
11 years ago
GPL
Bahanuzi arudi Bongo kama alivyoondoka
10 years ago
GPL
Bahanuzi ajipeleka Simba, aukataa mkataba wa Yanga
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Kassim ‘Babi’ atua Malaysia, Bahanuzi njiani kumfuata
11 years ago
GPL
DIDA NDOA TENA!
11 years ago
GPL
JEURI NYINGINE YA DIDA!
10 years ago
GPL
DIDA AIBU ILIYOJE!
11 years ago
GPL
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;