Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Banda aumia mazoezini Uturuki

KIUNGO wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini nchini Uturuki. Kwa mujibu wa mtandao, Banda aliumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi yaliyokuwa yakiongozwa na Kocha Mkuu wa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake, Hemed Morocco.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rojo aumia bega mazoezini

Beki wa Klabu ya Manchester united atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia

 

9 years ago

Bongo5

Daniel Sturridge aumia tena mazoezini

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.

2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906

Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.

Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

9 years ago

Bongo5

Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.

Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.

Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Falcao aumia tena Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Radamel Falcao ameumia tena na hataweza kucheza hadi katikati mwa Januari.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons

Jinamizi la majeruhi limezidi kuiandama Simba baada ya mshambuliaji wake mahiri Emmanuel Okwi kuumia kifundo cha mguu na kuna uwezekano wa kuikosa mechi ya kesho dhidi ya Prisons.

 

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga aumia rohoni kuikosa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Joseph Kimwaga ametoa la moyoni akisema kwamba kama kuna jambo linalomuumiza kichwa katika kazi yake ni kukosa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars na badala yake anageuka shabiki wa kutazama wanachokifanya wenzake.

 

10 years ago

Mwananchi

Aguas aumia Cape Verde kutolewa

Kocha wa Cape Verde, Rui Aguas amesema anahisi kama  wamekatishwa uhai kwa kutolewa mapema katika fainali za Mataifa ya Afrika msimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani