Banda aumia mazoezini Uturuki
KIUNGO wa Simba, Abdi Banda anayekipiga katika kikosi cha Taifa Stars ameumia akiwa mazoezini nchini Uturuki. Kwa mujibu wa mtandao, Banda aliumia wakati wa mazoezi ya kukimbia kwa kasi yaliyokuwa yakiongozwa na Kocha Mkuu wa Stars, Charles Mkwasa na msaidizi wake, Hemed Morocco.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Rojo aumia bega mazoezini
9 years ago
Bongo527 Nov
Daniel Sturridge aumia tena mazoezini
![2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2ECE215B00000578-3333700-image-a-10_1448471418906-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza anayeichezea klabu ya Liverpool, Daniel Sturridge, ameumia tena.
Sturridge ambaye hadi hivi sasa ameichezea Liverpool mechi tatu tangu kuanza kwa msimu huu, aliumia katika mazoezi ya kujianda na mechi dhidi ya na Bordeux ya Ufaransa na haijajulikana itachukua muda gani.
Kocha Jurgen Klopp amesema hajui nini kinaendelea kwa nyota wake huyo aliyeifungia Liverpool magoli 42 katika michezo 70 aliyoichezea klabu hiyo.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
9 years ago
Bongo504 Dec
Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini
![2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935-300x194.jpg)
Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.
Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.
Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.
Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Falcao aumia tena Chelsea
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Okwi aumia, kuikosa Tanzania Prisons
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kimwaga aumia rohoni kuikosa Stars
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Aguas aumia Cape Verde kutolewa