MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA
Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.
Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
10 years ago
GPL11 years ago
Michuzi12 Mar
9 years ago
Habarileo31 Oct
Maandalizi ya kumwapisha rais mpya yapamba moto
SERIKALI imeendelea kuandaa mazingira ya sehemu itakayotumika kwa ajili ya kumwapisha Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Maandalizi ya mazingira hayo yanaenda sambamba na mazoezi ya kijeshi kwa ajili ya gwaride maalumu, litakalofanyika wakati wa kuapishwa kwake katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Maandalizi Mkutano Mkuu CUF yapamba moto
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMxowcxryHA/U5__ynaQQnI/AAAAAAAFrLc/g_sKjN5NIp8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jTel7SmhCs/U5__zY017EI/AAAAAAAFrLg/_2Rl4vI9zjs/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MAANDALIZI MASHINDANO YA GOFU LUGALO OPEN YAPAMBA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OhSap3uwR3c/XmjrOiz4MAI/AAAAAAALin8/9DAp6VPqnQwdS0grr1Z37VCCiLOvQGHLQCLcBGAsYHQ/s640/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
Na Luteni Selemani Semunyu
Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanznaia vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s72-c/image.jpeg)
MAANDALIZI YA MAONESHO YA TANZANIA WEEK YAPAMBA MOTO LUSAKA, ZAMBIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-j0RFYJUpedE/U8jPBoI-DrI/AAAAAAAF3Pg/N8hzFD3t6H0/s1600/image.jpeg)
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA UTOAJI TUZO YA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 YAPAMBA MOTO