Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis

Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Novak Djokovic ambwaga Roger Federer.

Mchezaji Tenisi namba moja Duniani kutoka Serbia, Novak Djokovic amemaliza msimu wake kwa ushindi dhidi ya Roger Federer.

 

10 years ago

StarTV

Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon


Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza

Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

null
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.

null
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.

Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Radwanska ashinda tenis Singapore

Mpoland Agnieszka Radwanska amembamiza mshindi wa Wimbledon Petra Kvitova huko Singapore.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray ajipa changamoto tenis

Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu

 

10 years ago

GPL

KLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI

Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi.
Watoto wakifanya mazoezi ya…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakali wa tenis wachuana mjini Paris

Mpambano mkali unawakutanisha wakali wa tenisi duniani kwa upande wa wanaume Rafael Nadal na Novak Djokovic

 

10 years ago

BBCSwahili

Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri

Tanzania,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi zitakashiriki michuano ya Afrika ya tenisi kwa vijana chini ya miaka 18.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CAG ambwaga Amani

MAHAKAMA Kuu kanda ya Bukoba, imetupilia mbali kesi namba moja ya mwaka 2014, iliyofunguliwa na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani dhidi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani

KamaniNA JOHN MADUHU, MWANZA

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.

Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani