Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis
Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Novak Djokovic ambwaga Roger Federer.
10 years ago
StarTV12 Jul
Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711151318_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Radwanska ashinda tenis Singapore
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Murray ajipa changamoto tenis
10 years ago
GPLKLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wakali wa tenis wachuana mjini Paris
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
CAG ambwaga Amani
MAHAKAMA Kuu kanda ya Bukoba, imetupilia mbali kesi namba moja ya mwaka 2014, iliyofunguliwa na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Anatory Amani dhidi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani
NA JOHN MADUHU, MWANZA
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.
Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...