Murray ajipa changamoto tenis
Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis
10 years ago
StarTV12 Jul
Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711151318_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711154007_serena_williams_win_wimbledon2015_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.
Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/11/150711142032_serena_williams_640x360_getty_nocredit.jpg)
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.
Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...
10 years ago
GPLKLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Radwanska ashinda tenis Singapore
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wakali wa tenis wachuana mjini Paris
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Kaijage ajipa matumaini
BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.
Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.
Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...
9 years ago
Habarileo10 Oct
Kerr ajipa matumaini Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Messi ajipa matumaini Azam FC