Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Murray ajipa changamoto tenis

Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Djokovic ambwaga Jo-Tsonga,Tenis

Mchezaji Tenis kutoka serbia Novac Djokovic amefanikiwa kumshinda Jo-Wilfred Tsonga kwenye fainali za shanghai.

 

10 years ago

StarTV

Tenis:Serena ni bingwa wa Wimbledon


Serena Williams 6-4,6-4 Garbine Muguruza

Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

null
Serena Williams ndiye mshindi wa tuzo la Wimbledon la wanawake mwaka huu.

Serena alitawazwa kuwa bingwa mwaka huu baada ya kumlaza mpinzani wake Garbine Muguruza seti mbili kwa nunge katika fainali ya mchuano huo huko Uingereza.

null
Williams mwenye umri wa miaka 33 ameandikisha rekodi ya kuwa mshindi wa matuzo hayo mwenye umri mkubwa zaidi.

Raia huyo wa Marekani aliandikisha rekodi ya...

 

10 years ago

GPL

KLABU YA TENIS YA WATOTO MAZOEZINI

Kocha Ismail akiwafundisha watoto namna ya kutumia mpira wa tenisi.
Watoto wakifanya mazoezi ya…

 

9 years ago

BBCSwahili

Radwanska ashinda tenis Singapore

Mpoland Agnieszka Radwanska amembamiza mshindi wa Wimbledon Petra Kvitova huko Singapore.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tenis kuzikutanisha Nchi za Afrika Misri

Tanzania,Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi zitakashiriki michuano ya Afrika ya tenisi kwa vijana chini ya miaka 18.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakali wa tenis wachuana mjini Paris

Mpambano mkali unawakutanisha wakali wa tenisi duniani kwa upande wa wanaume Rafael Nadal na Novak Djokovic

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kaijage ajipa matumaini

BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.

Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.

Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ajipa matumaini Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Messi ajipa matumaini Azam FC

Mshambuliaji wa Azam, Ramadhan Singano ‘Messi’ amesema kuwa hakatishwi tamaa na kitendo cha kutopata nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo na ana uhakika atapata nafasi hiyo ndani ya kipindi kifupi kijacho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani