Messi ajipa matumaini Azam FC
Mshambuliaji wa Azam, Ramadhan Singano ‘Messi’ amesema kuwa hakatishwi tamaa na kitendo cha kutopata nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo na ana uhakika atapata nafasi hiyo ndani ya kipindi kifupi kijacho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Kaijage ajipa matumaini
BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.
Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.
Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...
9 years ago
Habarileo10 Oct
Kerr ajipa matumaini Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCYrNo3xR5QiQnlpb75WTZe*SykbWnfQlxudXy8Vxs0msp14HM1ZToIqDHw4mUrGniCOyo5So0EUrZ4mgAHaTHz/tyytyfyf.gif)
Simba SC yamuuza Messi Azam FC
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Messi atia doa urafiki wa Simba, Azam
9 years ago
Habarileo28 Oct
Azam matumaini kibao Ligi Kuu
OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Saad Kawemba, ameelezea kufurahishwa na mwenendo wa timu yao kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, huku akimsifia kocha wao Stewart Hall kwa mbinu anazotumia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68Xggnh*18xDXHvQco9DzbwxiVVLBDhl*Ls1YUPAr2jgEqbQSBJ7qYQPq-oZS*2l3Q7ZXFW245fw-1*VlOvISdbjtN/azam.jpg)
Azam, Mtibwa kunogesha Tamasha la Matumaini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*846LDZpiER397c5WGAbk*2evpeJ4XSqeRmlk-xKtD1bWx6ZAZjINHPd2lbigyXySkpgC48CdNkrGa5bB7TM80oA4/messi.jpg?width=650)
MESSI aonekana ofisi za azam, serikali yaingilia kati
11 years ago
GPLMTIBWA YAIKALISHA AZAM FC TAMASHA LA MATUMAINI 2014
10 years ago
Mwananchi10 Feb
MALENGO AFRIKA: Makocha Yanga, Azam wajipa matumaini