Messi atia doa urafiki wa Simba, Azam
Usajili wa Ramadhan Singano ‘Messi’ kutoka Simba kwenda Azam kwa mkataba wa miaka miwili umeanza kuibua hisia za ushindani na uhasama mkubwa baina ya timu hizo mbili, ambazo awali zilidhaniwa na wengi kuwa ndugu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuCYrNo3xR5QiQnlpb75WTZe*SykbWnfQlxudXy8Vxs0msp14HM1ZToIqDHw4mUrGniCOyo5So0EUrZ4mgAHaTHz/tyytyfyf.gif)
Simba SC yamuuza Messi Azam FC
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Messi ajipa matumaini Azam FC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*846LDZpiER397c5WGAbk*2evpeJ4XSqeRmlk-xKtD1bWx6ZAZjINHPd2lbigyXySkpgC48CdNkrGa5bB7TM80oA4/messi.jpg?width=650)
MESSI aonekana ofisi za azam, serikali yaingilia kati
10 years ago
Mtanzania29 May
Simba, Messi hakijaeleweka
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MGOGORO wa kimkataba wa winga wa timu ya Simba, Ramadhan Singano ‘Messi’ na timu yake hiyo umezidi kutikisa baada ya pande hizo mbili kuendelea kuvutana.
Messi analalamikia mkataba wake kughushiwa kwa kuongezwa mwaka mmoja zaidi unaomalizika mwakani, tofauti na ule wa awali aliosaini yeye unaofikia tamati Julai mwaka huu.
Uongozi wa Simba umekuwa ukikana madai hayo ukidai Messi alisaini mwenyewe mkataba huo wa mwaka mmoja, kabla ya ule wa awali kumalizika...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Messi aigaragaza Simba
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Simba, Messi wafikia pabaya
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UTATA wa mkataba wa winga Ramadhan Singano ‘Messi’ na timu yake ya Simba sasa umefikia pabaya, baada ya pande hizo mbili kufikiria kushtakiana ili kusaka suluhu.
Wakati Messi akisaka ufumbuzi wa suala hilo kwenye Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (Sputanza), uongozi wa Simba unataka kumshtaki kama akiendelea kuichafua klabu hiyo kwenye vyombo vya habari.
Winga huyo bado hajakubaliana na Simba kuhusu kusaini mkataba mpya baada ya kudai mkataba wake wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsGPsANl-m4YvbcIpYWOZjdeoidcD8ke-k2Q8RN-CuZRe3EW-NGgxkAHr3JKGYWq81wjbcgqxAAqxF60j7JxWEa/mesi.gif?width=650)
Messi wa Simba azawadiwa gari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RvYK9XD2X888JKnx3v1F1AQtrUgDqmSZ9dZp5IVlkupeA083PBMzUYc2kLZNVGtM0NVPyzv8Z-Mgmr-SLnUcS0/tgdfgd.jpg?width=650)
Mkataba wa Messi wawavuruga wachezaji Simba
10 years ago
Michuzi"MESSI" WA SIMBA ATUA COASTAL UNION