Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtambo wa Gongo na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) kuzipiga Augosti 10,2014 jijini Dar

Promota wa mbambano wa ngumi usiokuwa na ubingwa, Rashid Kipanga akiwatambulisha, Manenono Osward(Mtambo wa Gongo) kulia na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana Augosti 10,2014.Utambulisho wa pambano hilo ulifanyika katika Ukumbi wa Mwinjuma Dar es Salaam jana. Mchezaji wa Ngumi, Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) akisaini mkataba wa kupigana na Bondia Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) hapo Augosti 10,2014 katika Ukumi wa CCM Mwinjuma jijini Dar es Salaam.Kulia ni Rais wa Chama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUARI MOSSI,JIJINI DAR

Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitia saini ya mkataba wa makubaliano ya kuzipiga na Bondia Abbdallah Pazi (kulia) mbele ya promota Kassim Texas (katikati) mpambano utakaofanyika januari mosi katika ukumbi wa friends corner,Manzese jijini Dar es salaam.Bondia Thomasi Mashali (kushoto) akitunishiana misuli na Abdallah Pazi baada ya makubaliano yao ya kuzipiga katika mpambano wao,utakaofanyika Januari Mosi 2015 katika ukumbi wa Friends Corner,Manzese jijini Dar es salaam.Picha na SUPER D...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU DKT. ABDALAH KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dkt. Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini  Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti. Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda, ukihamishiwa kwenye...

 

11 years ago

GPL

OSWALD, ‘MUDI MBABE ‘KUZICHAPA AUGUST 10 MWANANYAMALA

Promota wa mpambano wa ngumi usiokuwa na ubingwa, Rashid Kipanga (katikati) akiwatambulisha Maneno Osward  (kulia) na Abdallah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana mwezi ujao.
Oswald akisaini mkataba wa kupigana na Abdallah Pazi. Kushoto ni Rais wa Chama cha Ngumi Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa.…

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA THOMAS MASHALI ASAINI KUZIPIGA NA ABDALLAH PAZI JANUAR MOSI 2015 FRENDS CORNER

Bondia Thomasi Mashali kushoto akitia saini ya kupigana na Abbdallah Pazi kulia baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Bondia Abbdallah Pazi kulia akitia saini ya kupigana na Thomasi Mashalikushoto baada ya makubaliano na promota Kassim Texas katikati mpambano utakaofanyika january mosi katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaamBondia Thomasi Mashali kushoto akitunishiana misuli...

 

10 years ago

GPL

HELIKOPTA YAANGUKA GONGO LA MBOTO JIJINI DAR

Muonekano wa Helikopta eneo la Gonga la Mboto jijini Dar. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya Helikopta kuanguka. Helikopta imeanguka leo eneo la Gongo la mboto Moshi Bar jijini Dar, polisi hawajatoa taarifa kama kuna majeruhi…

 

9 years ago

Michuzi

LOWASSA APANDA DALADALA KUTOKA GONGO LA MBOTO MPAKA PUGU KAJIUNGENI JIJINI DAR LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza eneo hilo ili kujionea hali halishi ya biashara ndogo ndogo. Mh. Lowassa aliianza ziara yake eneo hilo la Gongo la Mboto na baadae alipanda daladala mpaka Pugu Kajiungeni,...

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA KASEBA NA MASHALI WASAINI KUZIPIGA MACHI 29, 2014


Mabondia Thomas mashali na Japhet kaseba wamesaini makubaliano ya kucheza  pambano la ubingwa wa mabara wa Universal Boxing Organization (UBO) pambano litakalopigwa tarehe 29 march 2014 katika ukumbi wa Karume hall zamani ukiitwa PTA hall.  Pambano hilo linaandaliwa na mratibu mashuhuri katika masuala ya ngumi za kulipwa nchini hususani pande za Tanga Ally Mwanzoa alifurahishwa sana kwa nidhamu iliyooneshwa na mabondia hao wakati wa zoezi la kusaini mkataba wa makubaliano hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani