Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OSWALD, ‘MUDI MBABE ‘KUZICHAPA AUGUST 10 MWANANYAMALA

Promota wa mpambano wa ngumi usiokuwa na ubingwa, Rashid Kipanga (katikati) akiwatambulisha Maneno Osward  (kulia) na Abdallah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana mwezi ujao.
Oswald akisaini mkataba wa kupigana na Abdallah Pazi. Kushoto ni Rais wa Chama cha Ngumi Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mtambo wa Gongo na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) kuzipiga Augosti 10,2014 jijini Dar

Promota wa mbambano wa ngumi usiokuwa na ubingwa, Rashid Kipanga akiwatambulisha, Manenono Osward(Mtambo wa Gongo) kulia na Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) wanaotarajia kuchuana Augosti 10,2014.Utambulisho wa pambano hilo ulifanyika katika Ukumbi wa Mwinjuma Dar es Salaam jana. Mchezaji wa Ngumi, Abdalah Pazi (Mudi Mbabe) akisaini mkataba wa kupigana na Bondia Maneno Osward (Mtambo wa Gongo) hapo Augosti 10,2014 katika Ukumi wa CCM Mwinjuma jijini Dar es Salaam.Kulia ni Rais wa Chama...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA OSWALD NA SUSAN

Oswald na Susan wakiwa kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa kanisa katoliki la Mt. Peter lililopo Burmingham, Alabama siku ya Jumamosi April 11, 2015.Maharusi na wapambe wao wakiwa meza kuu.Wasimamizi wa maharusi wakijipanga kuwapokea Oswald na Susan wakati walipokua wakiingia ukumbini. Wasimamizi wakiwa tayari kuwapokea maharusi. Wapambe wa maharusi wakiingia ukumbini. Maharusi wakiingia kwa staili ya ghari, ghari. Maharusi wakifanya vitu vyao. Ni cherekuchereku kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA HARUSI YA SUZAN NA OSWALD BIRMINGHAM, ALABAMA

Kutoka kushoto ni Oswald, Mhagama, DJ Luke, Suzan wakiwa katika picha ya pamoja nyumbani kwa Suzan na Oswald kwenye kikao chao cha harusi kilichofanyika Jumamosi March 7, 2015 mji wa Birmingham, Alabama. Kikao kilihudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki wa Suzan na Oswald harusi itakayofanyika April 7, 2015 hapohapo Birmingham, Alabama.Bi harusi mtarajiwa akianza kulizoea jiko taratibu kwa kuwapikia wageni waliokuja kwenye kikao mahanjumatiDeus Joseph, mwenyekiti akiendesha kikao cha harusi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MNUSO BAADA YA SHEREHE YA HARUSI YA OSWALD NA SUSAN BURMINGHAM, ALABAMA

Wadau mbalimbali waliotokelezea kwenye mnuso wa baada ya sherehe ya harusi ya Oswald na Susan uliofanyika katikati ya mji wa Burmingham jimbo la Alabama wakipata picha ya pamoja.
Ni ukodak moment kwenye mnuso wa baada ya sherehe ya harusi ya Oswald na Susan
Wadau wakiwa katika picha ya pamoja
Mnuso wa baada ya sherehe ukiendelea.
Ni ukodak kwa kwenda mbele
Wadau wakiselebuka
Mnuso wa baada ya sherehe ukiendeleaKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Vijimambo

NG'ARI NG'ARI YA OSWALD NA SUSAN BURMINGHAM, ALABAMA LEO JUMAMOSI



Oswald na Susan wakivalisha pete ya ndoa mbele ya mchungaji wa kanisa la St Peter's Catholic Birmingham. AL na baada ya hapo  kulifuatiwa na sherehe ndani ya St Peter's Reception Hall, Oswald na Susan walijumuhika  na ndugu pamoja  marafiki kusheherekea siku hii muhimu katika maisha yao.

Hapa ni mzazi wa Bibi harusi wakiingia kanisani 
Watoto wakiwa kwenye sale maalum wakiingia kanisani hapo
Hawa watoto nao walikuwa kivutio kanisani hapo jinsi walivyokuwa wamependeza, kwa picha zaidi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao na Mayweather kuzichapa?

Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyilawila sasa kuzichapa na Mbelwa

BONDIA Saidi Mbelwa anatarajia kupanda ulingoni kuvaana na Karama Nyilawila katika pambano la kilo 76 kuwania ubingwa wa kimataifa unaotambuliwa na UBO. Pambano hilo limepangwa kupigwa Ukumbi wa Friends Conner...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani