RAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI

Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. MAYASA MARIWATA NYOTA wa filamu Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amesema anajihisi kama mwanamke mwenye mkosi baada ya wanaume wanne alioshiriki nao mapenzi kuonesha nia ya kumuoa, lakini ghafla waliingia mitini na kupeperusha ndoto yake ya kuwa mke wa mtu. Akipiga stori na gazeti hili, muigizaji huyo alisema umri wake unamruhusu kuolewa na anafanya kila njia ikiwa ni pamoja na kutii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 Oct
Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Wanaume wanne walioshtakiwa kwa ubakaji na mauaji wanyongwa nchini India
10 years ago
GPLWAMEINGIA, WAMETOKA
10 years ago
GPL
TUSIWABEZE AL SHABAAB; WAMEINGIA KWA WANAFUNZI!
11 years ago
GPL
RAYUU AKOMALIA WAUME ZA WATU
10 years ago
Mtanzania17 Oct
Rayuu wa mitandaoni na nyumbani ni tofauti!
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MAKUBWA! Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.
Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.
“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule...
10 years ago
GPL
RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE
10 years ago
GPL
RAYUU,SKAINA WAFANYA UCHAFU