TUSIWABEZE AL SHABAAB; WAMEINGIA KWA WANAFUNZI!
Waziri wa Mambo ya ndani nchini Tanzania, Mh. Mathias Chikawe. Tukio la kijana mwanafunzi Mtanzania, Rashid Charles Mberesero kukamatwa nchini Kenya akihusishwa na shambulizi la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa kilicho kaskazini mwa nchi hiyo jirani, haliwezi kupita kirahisi bila watu binafsi, taasisi za serikali na umma kwa ujumla kufanya tathmini ya kina. Tathmini ya kina ya kujiuliza, ni vipi kijana mdogo kama huyo,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Apr
AL SHABAAB: WANAFUNZI WAANDAMANA KAMPALA
Wanafunzi waandamana Kampala kupinga ugaidi
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda wamefanya maandamano ya mshikamano na wenzao waliofikiwa na mkasa katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya hivi majuzi.Wanafunzi hawa wamepiga kwata hadi ubalozi wa Kenya nchini Uganda na kutoa rambi rambi zao.
Wanafunzi hao wa wa chuo kikuu cha Makerere mjini Kampala waliandamana wakisindikizwa na bendi moja huku wakipewa ulinzi na polisi kuelekea ubalozi wa Kenya.
Shambulio dhidi ya Chuo cha...
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Al Shabaab:Wanafunzi waandamana Kampala
9 years ago
GPLWAMEINGIA, WAMETOKA
9 years ago
GPLRAYUU: WANAUME WANNE WAMEINGIA MITINI
9 years ago
GPLAL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
5 years ago
MichuziASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Al Shabaab kero kwa wakenya
11 years ago
Habarileo06 Aug
Anayedaiwa mwanachama Al Shabaab apelekwa kwa DCI
MSHITAKIWA anayekabiliwa na kesi ya kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mussa Mtweve, amepelekwa kwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kwa ajili ya mahojiano.
10 years ago
GPLMAREKANI YATHIBITISHA KUMUUA KWA KOMBORA MOJAWAPO YA VIONGOZI AL SHABAAB