Al Shabaab kero kwa wakenya
Nchi yetu na watu wetu wanashambuliwa" Haya ni maneno ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta---wakati Taifa la Kenya lilipopata taarifa za mauaji mengine ya kikatili kaskazini mwa nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari
POLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Wakenya 2 ICC kwa kuhonga mashahidi
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Wakenya wafuzu kwa fainali ya mita 5000
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Wakenya wakanusha kupambana na polisi kwa saa sita
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Kukosekana kwa Daraja katika Mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe, kwawa kero kwa wananchi
Diwani mteule (CCM) kata ya Minyughe (wa tatu kushoto mwenye suti ya bluu) Samweli Daniel Sadiki, pamoja na wakazi wa kijiji cha Minyughe,wakiangalia gari aina ya fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi lililosombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa.
Gari aina na fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi mjini Singida, likiwa limeangushwa na kusombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe wilaya ya Ikungi. Gari lililokuwa linasambaza soda katika vijiji vya kata ya Minyughe lipo mtoni...