Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab kero kwa wakenya

Nchi yetu na watu wetu wanashambuliwa" Haya ni maneno ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta---wakati Taifa la Kenya lilipopata taarifa za mauaji mengine ya kikatili kaskazini mwa nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya

Al Shabaab inaendelea kuwasajili wapiganaji katika miji mikuu nchini Kenya kulingana na ushahidi uliobanika na BBC

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

10 years ago

Habarileo

Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniPOLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya 2 ICC kwa kuhonga mashahidi

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC imechapisha waranti ya kuwakamata wakenya wawili wanaotuhumiwa kutoa rushwa ili kuwashawishi mashahidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha

Majambazi wane, wakiwemo raia watatu wa Kenya wameuwa na polisi mkoani Arusha baada ya kuhusika kufanya matukio mbalimbali ya ujambazi wa kupora silaha pamoja na fedha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya wafuzu kwa fainali ya mita 5000

Kenya yaimarisha matumaini ya kunyakuwa medali zaidi katika mashindano ya riadha yanayoendelea Beijing

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa wakenya kuhusu kombe la dunia

Serikali ya Kenya imewatahadharisha wananchi kuhusu usalama wao wakati huu wanapotazama michuano ya kombe la dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakenya wakanusha kupambana na polisi kwa saa sita

Raia wawili wa Kenya ambao wanadaiwa kupambana na polisi kwa saa sita jijini Arusha Julai 20, 2007, wamekanusha vikali kuwapo katika nyumba hiyo wakidai ushahidi huo ni wa uongo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kukosekana kwa Daraja katika Mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe, kwawa kero kwa wananchi

IMG_0654

Diwani mteule (CCM) kata ya Minyughe (wa tatu kushoto mwenye suti ya bluu) Samweli Daniel Sadiki, pamoja na wakazi wa kijiji cha Minyughe,wakiangalia gari aina ya fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi lililosombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa.

IMG_0664

Gari aina na fuso T.662 CBB  la kampuni ya Pepsi mjini Singida, likiwa limeangushwa na kusombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe wilaya ya Ikungi. Gari lililokuwa linasambaza soda katika vijiji vya kata ya Minyughe lipo mtoni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani