Wakenya wafuzu kwa fainali ya mita 5000
Kenya yaimarisha matumaini ya kunyakuwa medali zaidi katika mashindano ya riadha yanayoendelea Beijing
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Waethiopia na Wakenya wafuzu mita 5,000
Wanariadha 3 wa Ethiopia pamoja na wengine 3 wa Kenya wamefuzu katika fainali ya mbio za mita 5000 siku ya jumamosi mjini Beijing.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Victor Wanyama na Divock Origi: Shauku kubwa kwa Wakenya Liverpool na Tottenham kufuzu fainali ya Champions League
Nyota wawili wa Kenya wanazichezea timu zitakazokutana katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya Juni mosi.
5 years ago
Michuzi
FCS YATOA BARAKOA 5000 KWA CHAVITA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KATIKA kuonesha ushiriki wa mapambano dhidi ya mlipuko wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19,) asasi ya kiraia ya Foundation for Civil Society (FCS) imeendelea kuonesha ushiriki huo kwa kutoa vifaa na ruzuku kwa makundi maalumu na watu wenye ulemavu ili kuendelea kuwaweka salama zaidi pamoja na kuzuia maambukizi zaidi.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi barakoa 5000 kwa Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Mkurugenzi...
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
58 wafuzu mafunzo ya ukocha
Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Sembu, Msenduki wafuzu madola
>Wanariadha Andrew Sembu na Mohamed Msenduki wamefikia viwango vya kushiriki michezo ya Jumuiya ya Madola vilivyowekwa na Shirikisho la riadha Tanzania (AT).
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Al Shabaab kero kwa wakenya
Nchi yetu na watu wetu wanashambuliwa" Haya ni maneno ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta---wakati Taifa la Kenya lilipopata taarifa za mauaji mengine ya kikatili kaskazini mwa nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Arsenal wafuzu hatua ya muondoano Ulaya
Olivier Giroud alifungia Arsenal mabao matatu kwa mara yake ya kwanza na kuhakikisha Gunners wanaendeleza rekodi yao nzuri Ulaya kufika hatua ya 16 bora kwa kulaza Olympiakos.
10 years ago
Habarileo13 Sep
Vijana watano wafuzu majaribio Bondeni
WACHEZAJI watano kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 wamefuzu majaribio ya kucheza soka katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania