Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


58 wafuzu mafunzo ya ukocha

Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.

 

10 years ago

GPL

TFF YAWAPA MAFUNZO YA UKOCHA WALIMU 20

Makocha hao wapya wakiwa mazoezini pamoja na watoto wadogo. ILI kuibua na kukuza vipaji vya wanamichezo nchini, Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limetoa mafunzo ya ukocha kwa walimu ishirini (20) wa michezo wa…

 

10 years ago

GPL

FRAT ILALA YATOA MAFUNZO YA UKOCHA KWA VIJANA 28

Mwamuzi mstaafu wa Fifa, Omary Abdulkarim akiwaelekeza wanafunzi hao. Wanafunzi wakiwa…

 

11 years ago

Mwananchi

Sembu, Msenduki wafuzu madola

>Wanariadha Andrew Sembu na Mohamed Msenduki  wamefikia viwango vya kushiriki michezo ya Jumuiya ya  Madola vilivyowekwa na Shirikisho la riadha Tanzania  (AT).

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal wafuzu hatua ya muondoano Ulaya

Olivier Giroud alifungia Arsenal mabao matatu kwa mara yake ya kwanza na kuhakikisha Gunners wanaendeleza rekodi yao nzuri Ulaya kufika hatua ya 16 bora kwa kulaza Olympiakos.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waethiopia na Wakenya wafuzu mita 5,000

Wanariadha 3 wa Ethiopia pamoja na wengine 3 wa Kenya wamefuzu katika fainali ya mbio za mita 5000 siku ya jumamosi mjini Beijing.

 

9 years ago

Habarileo

Vijana watano wafuzu majaribio Bondeni

WACHEZAJI watano kutoka timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 wamefuzu majaribio ya kucheza soka katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya wafuzu kwa fainali ya mita 5000

Kenya yaimarisha matumaini ya kunyakuwa medali zaidi katika mashindano ya riadha yanayoendelea Beijing

 

11 years ago

Mwananchi

UKOCHA: Nsajigwa atua Yanga

>Beki wa zamani wa Yanga, Shadrack Nsajigwa ameanza kazi rasmi ya kukinoa kikosi cha vijana cha timu hiyo (Yanga B), huku akiahidi kuwaandaa wachezaji kwa weledi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani