Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha
Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Kaseja aondoka Dar, aenda kusomea ukocha
Juma Kaseja. Na Ibrahim Mussa
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja ameonyesha kuanza mapema kujiandaa na maisha ya kuwa kocha siku za baadaye atakapostaafu baada ya kuamua kwenda kusomea kozi ya ukocha mkoani Morogoro.
Kaseja ambaye amekuwa hana uhakika wa namba kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga, yupo kwenye kozi hiyo ya siku 10 ilitoratibiwa na Chama cha Makocha Mkoa wa Morogoro (Tafca-Morogoro). Akizungumza na Championi Jumatano,...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
58 wafuzu mafunzo ya ukocha
Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.
10 years ago
GPLTFF YAWAPA MAFUNZO YA UKOCHA WALIMU 20
Makocha hao wapya wakiwa mazoezini pamoja na watoto wadogo. ILI kuibua na kukuza vipaji vya wanamichezo nchini, Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limetoa mafunzo ya ukocha kwa walimu ishirini (20) wa michezo wa…
10 years ago
GPLFRAT ILALA YATOA MAFUNZO YA UKOCHA KWA VIJANA 28
Mwamuzi mstaafu wa Fifa, Omary Abdulkarim akiwaelekeza wanafunzi hao. Wanafunzi wakiwa…
11 years ago
GPL
MAKUKA AHITIMU UPAPARAZI
Stori: Gabriel Ng’osha MSANII wa filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashahada ya uandishi wa habari katika chuo cha Dar es Salaam City College (DACICO) kilichopo Kibamba CCM jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Akizungumza na gazeti hili katika viwanja vya chuo hicho, aliwataka wasanii wenzake kujiendeleza katika masomo ya fani mbalimbali kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.…...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
10 years ago
Vijimambo
MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA

10 years ago
Vijimambo19 Nov
Kibadeni astaafu rasmi ukocha

Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Kibadeni mwenye rekodi pekee ya kufunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) inayohusisha watani wa jadi, Simba na Yanga, alisema amechukua uamuzi wa kuachana na ukocha ili kuepuka malumbano na kuzongwa na viongozi...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
UKOCHA: Nsajigwa atua Yanga
>Beki wa zamani wa Yanga, Shadrack Nsajigwa ameanza kazi rasmi ya kukinoa kikosi cha vijana cha timu hiyo (Yanga B), huku akiahidi kuwaandaa wachezaji kwa weledi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania