Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee wa miaka 74 ahitimu shahada ya sheria

Waandishi Wetu, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA

Lazaro Ole Kipeyan akisaidiwa kwenda kutunukiwa Shahada ya Sheria wakati wa Mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) huko Dodoma.(picha: Sifa Lubai/Daily News)

 

10 years ago

Habarileo

Mzee wa miaka 74 atunukiwa shahada ya sheria

Tunu PindaMKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda jana alitunukiwa Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Miradi wakati wa mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika katika Viwanja vya Nyerere Square Mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO

Mwongozaji na msanii wa filamu anayemiliki Studio ya Five Effect, William J. Mtitu akipokea tuzo kwa niaba ya Issa Mussa 'Cloud'. FILAMU ya msanii Issa Mussa 'Cloud' iitwayo Shahada na ile ya wasanii King Majuto, Jacob Steven 'JB' na Shamsa Ford 'Shikamoo Mzee' zimejishinda tuzo jana katika Tamasha la ZIFF linaloendelea Ngome Kongwe Visiwani Zanzibar! ...

 

11 years ago

GPL

MAKUKA AHITIMU UPAPARAZI

Stori: Gabriel Ng’osha MSANII wa filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashahada ya uandishi wa habari katika chuo cha Dar es Salaam City College (DACICO) kilichopo Kibamba CCM jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Akizungumza na gazeti hili katika viwanja vya chuo hicho, aliwataka wasanii wenzake kujiendeleza katika masomo ya fani mbalimbali kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.…...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.

 

11 years ago

Habarileo

Mzee wa miaka 55 aoa mtoto

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Kitongoji cha Nyamakokoto mjini Bunda, Joseph Nyanda amefikishwa mahakamani akidaiwa kubaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12 na kumgeuza mkewe.

 

10 years ago

Michuzi

Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi

Leo, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi anatimiza miaka 90. Tulipata fursa ya pekee kuketi naye akatueleza mambo machache kuhusu maisha yakeUNGANA NASI

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney

Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya

Mzee mwenye umri wa miaka 70 aliyemchoma mkewe mwenye umri wa miaka 16 mjini Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya amekamatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani