Mzee wa miaka 74 ahitimu shahada ya sheria
Waandishi Wetu, Mwananchi
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA

10 years ago
Habarileo25 Jan
Mzee wa miaka 74 atunukiwa shahada ya sheria
MKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda jana alitunukiwa Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Miradi wakati wa mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika katika Viwanja vya Nyerere Square Mjini hapa.
11 years ago
GPL
TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO
Mwongozaji na msanii wa filamu anayemiliki Studio ya Five Effect, William J. Mtitu akipokea tuzo kwa niaba ya Issa Mussa 'Cloud'. FILAMU ya msanii Issa Mussa 'Cloud' iitwayo Shahada na ile ya wasanii King Majuto, Jacob Steven 'JB' na Shamsa Ford 'Shikamoo Mzee' zimejishinda tuzo jana katika Tamasha la ZIFF linaloendelea Ngome Kongwe Visiwani Zanzibar! ...
11 years ago
GPL
MAKUKA AHITIMU UPAPARAZI
Stori: Gabriel Ng’osha MSANII wa filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashahada ya uandishi wa habari katika chuo cha Dar es Salaam City College (DACICO) kilichopo Kibamba CCM jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Akizungumza na gazeti hili katika viwanja vya chuo hicho, aliwataka wasanii wenzake kujiendeleza katika masomo ya fani mbalimbali kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.…...
11 years ago
Mwananchi17 May
Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha
Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.
11 years ago
Habarileo04 Sep
Mzee wa miaka 55 aoa mtoto
MWANAMUME mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Kitongoji cha Nyamakokoto mjini Bunda, Joseph Nyanda amefikishwa mahakamani akidaiwa kubaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12 na kumgeuza mkewe.
10 years ago
Michuzi
Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi

10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney
Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya
Mzee mwenye umri wa miaka 70 aliyemchoma mkewe mwenye umri wa miaka 16 mjini Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya amekamatwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania