MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UefsBHp82RM/VMQbqeGPWoI/AAAAAAAAbY4/dSLuUk2L00U/s72-c/CHECHEMEA.jpg)
Lazaro Ole Kipeyan akisaidiwa kwenda kutunukiwa Shahada ya Sheria wakati wa Mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) huko Dodoma.(picha: Sifa Lubai/Daily News)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jan
10 years ago
VijimamboELIMU HAINA MWISHO...BRIG GEN (RTD) ALAMBA NONDO ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cCNGY-qSHWA/VHtscAXIX2I/AAAAAAAG0Yw/C6bfq9tuZtU/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
ELIMU HAINA MWISHO...BRIGEDIA JENERALI (RTD) LIGATE ALAMBA NONDOZZZ ZA SHERIA LLB CHUO KIKUU HURIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 74
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCNGY-qSHWA/VHtscAXIX2I/AAAAAAAG0Yw/C6bfq9tuZtU/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Sabina Leonce Komba atunukiwa Shahada yake ya pili katika Uongozi wa Miradi Chuo Kikuu Huria
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) akipozi kwa picha mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya pili (Masters) ya Uongozi wa Miradi aliyoipata Katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwenye mahafali ya 27 ya chuo hicho yaliyofanyika Desemba 16 mwaka huu katika viwanja vya Bungo Kibaha mkoani Pwani.
Sabina Leonce Komba ambaye ni mtumishi wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF akipozi kwa picha na wenzake katika mahafali hayo.
Sabina Leonce Komba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s72-c/bb.jpg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15
![](http://1.bp.blogspot.com/-6M3W_TsnCxc/VneAGEajBvI/AAAAAAAINmo/u7CdCFXyTAE/s640/bb.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s72-c/unnamed+(7).jpg)
MAHAFALI YA 11 CHUO KIKUU HURIA MANYARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EiyO6kmhsMw/U3CYb-En2sI/AAAAAAAFhDk/HxiHtKtPrpY/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjs2UcRz80g/U3CYd5ToY6I/AAAAAAAFhD0/ufjM6PH4O78/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iZ26uMvk6Vk/U3CYdrBqPrI/AAAAAAAFhDw/_L5UplVjqYo/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yafana Rwanda
Na Mwandishi Wetu
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimefanya mahafali yake ya 28 katika kituo cha uendeshaji kilichopo mjini Kibungo, Wilaya ya Ngoma nchini Rwanda.
Mahafali hayo yaliyofanyika Machi 20, mwaka huu yalihudhuriwa na wageni mbalimbali akiwamo Mkuu wa chuo hicho, Dk. Asha-Rose Migiro ambaye aliwatunuku wahitimu shahada mbalimbali.
Mahafali hayo yaliyohusisha wahitimu 25 wa shahada za uzamili, yamekuja baada ya kufanyika kwa mahafali ya 26 Novemba mwaka jana, Kibaha mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
walimu wala nondozzz Chuo Kikuu Huria
![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bpcLWynsriM/VIqLXqU4QCI/AAAAAAAG2q0/P57ny0L4NYQ/s1600/unnamed%2B(13).jpg)