Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yafana Rwanda

Na Mwandishi Wetu
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimefanya mahafali yake ya 28 katika kituo cha uendeshaji kilichopo mjini Kibungo, Wilaya ya Ngoma nchini Rwanda.
Mahafali hayo yaliyofanyika Machi 20, mwaka huu yalihudhuriwa na wageni mbalimbali akiwamo Mkuu wa chuo hicho, Dk. Asha-Rose Migiro ambaye aliwatunuku wahitimu shahada mbalimbali.
Mahafali hayo yaliyohusisha wahitimu 25 wa shahada za uzamili, yamekuja baada ya kufanyika kwa mahafali ya 26 Novemba mwaka jana, Kibaha mkoani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA 11 CHUO KIKUU HURIA MANYARA

 Baadhi ya wahitimu 70 wa mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, wakishiriki mahafali hayo juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.  Baadhi ya wahitimu 70 wa mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, wakishiriki mahafali hayo juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati.  Wapuliza tarumbeta wa shule ya sekondari Madunga Wilayani Babati wakiwa kwenye mahafali ya 11 ya Chuo kikuu huria cha Mkoani Manyara, juzi kwenye uwanja wa kwaraa mjini Babati. Picha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.

Mkuu wa chuo kikuu kikuu cha St, John Askofu Dolnad Mtetemela katikati akiwa na viongozi wa kanisa la anglikan ambalo ndilo mmiliki wa chuo hicho walipokuwa kwenye mahafali ya tano ya chuo hicho. Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Philip Alfred aliyekuwa Mgeni Rasmi kwenye mahafali ya tano ya wanafunzi wa chuo kikuu cha St, John's cha mjini Dodoma akihuwahutubia wahitimu wa kozi mbalimbali wa chuo hicho. Mkuu wa Skuli za kidini akihutubia jambo kwenye mahafali hayo.Wahitimu wa Shahada ya sayansi...

 

10 years ago

Michuzi

Mahfali ya 26 ya chuo Kikuu Huria cha Tanzania yafana

Na Othman Khamis Ame Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar 
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania { CKHT } katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na shughuli zao za kazi,ajira binafsi au kifamilia kama kawaida. Alisema wakati chuo hicho cha umma kinapotoa nafasi nzuri zaidi kwa Watanzania kupanua wigo wao wa elimu ya juu ni vizuri kwa wananchi kuitumia nafasi hiyo mapema...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam

Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb) akihutubia wasichana waliohitimu mafunzo ya ujasiriamali, mawasiliano, na ususi wa nywele kwenye mahafali ya yaliyofanyika katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam tarehe 20/08/2015. Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Dkt. Pindi H. Chana (Mb)akimpongeza Bi. Jane Malyi kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na urembo mara baada ya kutoa neno...

 

9 years ago

Michuzi

Mahafali ya 9 ya Chuo Kikuu Ardhi Yafana, 1874 Wahitimu katika fani mbalimbali

 Mlau (Proctor) wa Chuo Kikuu Ardhi Prof.Joseph Lusuga Kilonde akiongoza andamano la wanataaluma (Academic Procession) wa Chuo Kikuu Ardhi Wakati wa Mahafali ya 9 ya Chuo hicho jijini Dar es salaam.Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi Mhe. Cleopa Msuya (kulia) na Makamu Mkuu wa chuo hicho Prof.Idrissa Mshoro wakiongoza  wahitimu wa Chuo hicho wakati wa Mahafali ya 9, mwaka 2015 jijini Dar es salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi Mhe. Cleopa Msuya (katikati) na na viongozi wengine wa chuo hicho wakiwaongoza ...

 

10 years ago

Michuzi

Mahafali ya tano ya chuo kikuu cha St. John's mjini Dodoma yafana sana leo

 Kushoto mkurugenzi wa Wateja wakubwa, Taasisi na mashirika wa benki ya CRDB Philip Alfred akiwakabidhi viongozi wa chuo kikuu cha Mtakatifu Yohana (St, John's) cha mjini Dodoma Mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya kuchangia maendeleo ya chuo hicho kilichopo chini ya kanisa la Anglican TanzaniaSehemu ya wahitimu kwenye mahafali hayo   Wahitimu wa kozi mbalimbali za chuo kikuu cha St, John's wakiwa katika mahafali ya tano ya chuo hicho yaliyofanyika mjini Dodoma.Baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema uamuzi wa Serikali wa kukopa fedha ili kuboresha miundombinu kwenye taasisi za elimu ya juu nchini ulichukuliwa kwa lengo la kujibu tatizo la sasa la wingi wa vijana wanaohitimu kidato cha sita.
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MAALIM DR ALI AHMED SALEH ALAMBA NONDOZ YA SHAHADA YA UZAMIFU YA FALSAFA YA UDAKTARI (Phd) YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA(OUT)KATIKA MAHAFALI YA 29 HAPO TAREHE 16/12/15

BALOZI, MAALIM DR. ALI AHMED SALEH AKISIDINDIKIZWA NA MSIMAMIZI WAKE WA MASOMO(SUPERVISOR) PROF. HOSSEA RWEGOSHORA KUPOKEA SHAHADA YAKE YA PhD.

 

10 years ago

Michuzi

walimu wala nondozzz Chuo Kikuu Huria

 ILIKUWA ni furaha isiyoelezeka pale Mwalimu Eliza Mhule wa Shule ya Msingi Mtoni , Manispaa ya Temeke pale alipotunukiwa shahada yake ya kwanza ya Ualimu iliyotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kwenye Mahafali yalifanyika hivi karibuni katika mji mdogo wa Kibaha Mkoani Pwani hivi Karibuni. Katika picha Eliza yupo katika picha ya pamoja na watoto wake David Keasi (kushoto), Brian (katikati) na Aaron (kulia) Walimu wa Shule ya Msingi  Mtoni katika Manispaa ya Temeke wakiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani