Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKUKA AHITIMU UPAPARAZI

Stori: Gabriel Ng’osha MSANII wa filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashahada ya uandishi wa habari katika chuo cha Dar es Salaam City College (DACICO) kilichopo Kibamba CCM jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Akizungumza na gazeti hili katika viwanja vya chuo hicho, aliwataka wasanii wenzake kujiendeleza katika masomo ya fani mbalimbali kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.…...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MSANII BAKARI MAKUKA ATUNUKIWA STASHAHADA YA UANDISHI WA HABARI

Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Bakali Makuka akiwa na mhitimu mwenzake baada ya kutunukiwa stashahada. Ndugu na jamaa wakimpongeza mpendwa wao Bakari Makuka. Na Gabriel…

 

11 years ago

Mwananchi

Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee wa miaka 74 ahitimu shahada ya sheria

Waandishi Wetu, Mwananchi

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA

Lazaro Ole Kipeyan akisaidiwa kwenda kutunukiwa Shahada ya Sheria wakati wa Mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) huko Dodoma.(picha: Sifa Lubai/Daily News)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani