MAKUKA AHITIMU UPAPARAZI

Stori: Gabriel Ng’osha MSANII wa filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashahada ya uandishi wa habari katika chuo cha Dar es Salaam City College (DACICO) kilichopo Kibamba CCM jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Bakari Makuka akiwa kavalia joho. Akizungumza na gazeti hili katika viwanja vya chuo hicho, aliwataka wasanii wenzake kujiendeleza katika masomo ya fani mbalimbali kwa ajili ya maisha yao ya baadaye.…...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSANII BAKARI MAKUKA ATUNUKIWA STASHAHADA YA UANDISHI WA HABARI
11 years ago
Mwananchi17 May
Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha
10 years ago
Mwananchi27 Jan
10 years ago
Vijimambo
MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA
