Kibadeni astaafu rasmi ukocha
Kocha wa zamani wa Simba na Ashanti United, zote za jijini Dar es Salaam, Abdallah 'King' Kibadeni, ametangaza kuachana rasmi na kazi hiyo na kuamua kuanzisha kituo cha kulelea vijana wenye vipaji vya michezo 'spoti akademi'.
Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Kibadeni mwenye rekodi pekee ya kufunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) inayohusisha watani wa jadi, Simba na Yanga, alisema amechukua uamuzi wa kuachana na ukocha ili kuepuka malumbano na kuzongwa na viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2HgXbTogGCM/VR6dVcHqEQI/AAAAAAADei0/QAJzuIh5FY8/s72-c/10989654_880099645366945_8011789958487806348_n.jpg)
CHARLES HILARY ASTAAFU RASMI BBC LONDON
![](http://2.bp.blogspot.com/-2HgXbTogGCM/VR6dVcHqEQI/AAAAAAADei0/QAJzuIh5FY8/s1600/10989654_880099645366945_8011789958487806348_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-myJZAf09QNQ/VR6dUR1DDKI/AAAAAAADeis/LGU1xOO1sSw/s1600/10363829_880099638700279_2462677800321620875_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SPUP4ZMimGU/VR6dUUl0A-I/AAAAAAADeik/CgHt3YoMjh8/s1600/10491188_880099602033616_4736685847843048166_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2iK7xhNyIxA/VR6dVtsa6mI/AAAAAAADei4/fM7_oFRWk0k/s1600/11080952_880099762033600_4669525579256193186_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--dUTmASsHkc/VR6dVhf4RcI/AAAAAAADei8/8I_heDadFn0/s1600/11081092_880100025366907_7802123079401147564_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w9H9niDZPMk/VR6dUaSVCTI/AAAAAAADeio/e9dE_HZlQOM/s1600/10805780_880099612033615_4399467795488675097_n.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Jun
58 wafuzu mafunzo ya ukocha
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Eto’o avuliwa majukumu ya ukocha
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Matola ajiuzulu ukocha Simba
9 years ago
Habarileo30 Dec
Wahitimu ukocha wapewa somo
WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.
11 years ago
Mwananchi17 May
Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha
11 years ago
Mwananchi01 Aug
UKOCHA: Nsajigwa atua Yanga
9 years ago
Habarileo08 Nov
Malinzi amtaka Chabruma asomee ukocha
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF), Jamali Malinzi amesema anafikiria namna ya kumshawishi nyota wa timu ya taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ Ester Chabruma kujiunga na kozi za ukocha.
10 years ago
GPLTFF YAWAPA MAFUNZO YA UKOCHA WALIMU 20