Malinzi amtaka Chabruma asomee ukocha
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF), Jamali Malinzi amesema anafikiria namna ya kumshawishi nyota wa timu ya taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ Ester Chabruma kujiunga na kozi za ukocha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mrwanda amtaka Malinzi kuacha utani
Mshambuliaji Danny Mrwanda amemtaka Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kuacha utani juu ya timu ya taifa kwa kuangalia kikosi cha timu ya Maboresho.
9 years ago
TheCitizen04 Nov
Chabruma finally hangs up her boots
The long-serving national women soccer team (Twiga Stars) striker, Ester Chabruma, has announced her retirement from national team’s assignment.
9 years ago
Habarileo04 Nov
Twiga, Malawi kumuaga Chabruma Jumamosi
TIMU ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itatumia mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 7 mwaka huu kumuaga mshambuliaji wao Ester Chabruma.
9 years ago
TheCitizen09 Nov
Chabruma calls an end to soccer career with Twiga Stars
Ester Chabruma’s soccer career spanning about two decades came to an end on Saturday with a send-off match against Malawi at the Azam Complex.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
58 wafuzu mafunzo ya ukocha
Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Matola ajiuzulu ukocha Simba
Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola na kueleza kumweka hadharani mrithi wake atakayesaidiana na kocha mkuu, Goran Kopunovic wakati wowote kuanzia sasa.
11 years ago
Mwananchi17 May
Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha
Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Kibadeni astaafu rasmi ukocha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kibadeni-November19-2013.jpg)
Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Kibadeni mwenye rekodi pekee ya kufunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) inayohusisha watani wa jadi, Simba na Yanga, alisema amechukua uamuzi wa kuachana na ukocha ili kuepuka malumbano na kuzongwa na viongozi...
9 years ago
BBCSwahili07 Jan
Eto’o avuliwa majukumu ya ukocha
Nahodha wa zamani wa Cameroon Eto'o amepokonywa majukumu ya ukufunzi katika klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania