Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi amtaka Chabruma asomee ukocha

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF), Jamali Malinzi amesema anafikiria namna ya kumshawishi nyota wa timu ya taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ Ester Chabruma kujiunga na kozi za ukocha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda amtaka Malinzi kuacha utani

Mshambuliaji Danny Mrwanda amemtaka Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kuacha utani juu ya timu ya taifa kwa kuangalia kikosi cha timu ya Maboresho.

 

9 years ago

TheCitizen

Chabruma finally hangs up her boots

The long-serving national women soccer team (Twiga Stars) striker, Ester Chabruma, has announced her retirement from national team’s assignment.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga, Malawi kumuaga Chabruma Jumamosi

TIMU ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itatumia mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya wanawake ya Malawi utakaochezwa Novemba 7 mwaka huu kumuaga mshambuliaji wao Ester Chabruma.

 

9 years ago

TheCitizen

Chabruma calls an end to soccer career with Twiga Stars

Ester Chabruma’s soccer career spanning about two decades came to an end on Saturday with a send-off match against Malawi at the Azam Complex.

 

11 years ago

Mwananchi

58 wafuzu mafunzo ya ukocha

Waamuzi 58 wametunikiwa vyeti vya ukocha na uamuzi Daraja C baada ya kuhitimu mafunzo ya ukocha na uamuzi wa netiboli mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Matola ajiuzulu ukocha Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kuachana na kocha msaidizi wa timu hiyo, Seleman Matola na kueleza kumweka hadharani mrithi wake atakayesaidiana na kocha mkuu, Goran Kopunovic wakati wowote kuanzia sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kaseja ahitimu mafunzo ya ukocha

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja amehitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika mafunzo yaliyoanza Mei 5 mwaka huu na kumalizika jana katika Manispaa ya Morogoro.

 

10 years ago

Vijimambo

Kibadeni astaafu rasmi ukocha

Kocha wa zamani wa Simba na Ashanti United, zote za jijini Dar es Salaam, Abdallah 'King' Kibadeni, ametangaza kuachana rasmi na kazi hiyo na kuamua kuanzisha kituo cha kulelea vijana wenye vipaji vya michezo 'spoti akademi'.

Akizungumza na NIPASHE jijini Dar es Salaam jana, Kibadeni mwenye rekodi pekee ya kufunga mabao matatu katika mechi moja (hat-trick) inayohusisha watani wa jadi, Simba na Yanga, alisema amechukua uamuzi wa kuachana na ukocha ili kuepuka malumbano na kuzongwa na viongozi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Eto’o avuliwa majukumu ya ukocha

Nahodha wa zamani wa Cameroon Eto'o amepokonywa majukumu ya ukufunzi katika klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani