Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya

Al Shabaab inaendelea kuwasajili wapiganaji katika miji mikuu nchini Kenya kulingana na ushahidi uliobanika na BBC

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab kero kwa wakenya

Nchi yetu na watu wetu wanashambuliwa" Haya ni maneno ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta---wakati Taifa la Kenya lilipopata taarifa za mauaji mengine ya kikatili kaskazini mwa nchi hiyo.

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

9 years ago

BBCSwahili

China kuwasajili wafanyikazi upya

Wakuu nchini China wametangaza mpango wa kuhalalisha ukaazi wa mamilioni ya wafanyakazi waliohamia mijini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Sina haki kuwasajili wachezaji wapya

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa hana haki ya kuishinikza Chelsea kununua wachezaji wapya wakati wa dirisha la uhamisho mnamo mwezi Januari.

 

10 years ago

Michuzi

Jaji Mkuu aongoza sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya jijini Dar leo

Jaji Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika meza kuu pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu ya Tanzania katika Sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya, mapema leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Jaji Mkuu wa TanzaniaMhe. Mohamed Chande Othman,  (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani (walioketi), Mhe. Shaaban Ali Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (wa...

 

9 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KUWASAJILI WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ,WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA

 Mtoto Baraka Dombeni, akiwa na mama yake Bizimana Violet, akivishwa alama ya utambuzi muda mfupi baada ya kuwasili jana katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu, akitokea Wilaya ya Makamba nchini Burundi. Alama hii ni utambulisho wa kuwawezesha wakimbizi wanaofika katika kambi ya Nyarugusu kuandikishwa rasmi kabla ya kupewa hifadhi kambini hapo. Afisa Msajili Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia wakimbizi (UNHCR), Awadhi Nyanda akichukua taarifa toka kwa familia mojawapo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Misukule ya teknolojia (safari ya ungo inaendelea)

Jamani nyie misukule, ngoja kwanza niwakumbushe maana siku hizi watu hawana kumbukumbu. Ilimradi imehifadhiwa ndani ya simu basi tena.

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri’

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaendelea vizuri na kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani