Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China kuwasajili wafanyikazi upya

Wakuu nchini China wametangaza mpango wa kuhalalisha ukaazi wa mamilioni ya wafanyakazi waliohamia mijini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya

Al Shabaab inaendelea kuwasajili wapiganaji katika miji mikuu nchini Kenya kulingana na ushahidi uliobanika na BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyikazi kusalia majumbani Liberia.

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf amewataka wafanyikazi wa serikali wasio na umuhimu mkubwa kusalia majumbani mwao

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Sina haki kuwasajili wachezaji wapya

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa hana haki ya kuishinikza Chelsea kununua wachezaji wapya wakati wa dirisha la uhamisho mnamo mwezi Januari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge wa EFF wavalia kama wafanyikazi

Wabunge wa EFF wavalia kama wafanyikazi katika kikao cha kwanza Afrika Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Wafanyikazi wa kigeni Saudia

Saudia imekubaliana na serikali ya Indonesia kulinda haki za wafanyikazi wa nyumbani kutoka Indonesia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa wafanyikazi wa Qatar 2022

Viongozi nchini qatar wametoa mustakabali mpya wa wafanyikazi walioajiriwa na wenye kandarasi za kombe la dunia la mwaka wa 2022

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook ililipa kodi kidogo kuliko wafanyikazi

Kampuni ya mtandao wa Facebook imelipa kodi ya mapato ya pauni (£4,327) ilhali ilipata faida ya zaidi ya bilioni 2.6

 

10 years ago

Michuzi

Jaji Mkuu aongoza sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya jijini Dar leo

Jaji Mkuu wa Tanzania,Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa katika meza kuu pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu ya Tanzania katika Sherehe za kuwakubali na kuwasajili Mawakili wapya, mapema leo katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.Jaji Mkuu wa TanzaniaMhe. Mohamed Chande Othman,  (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani (walioketi), Mhe. Shaaban Ali Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (wa...

 

9 years ago

Michuzi

ZOEZI LA KUWASAJILI WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU ,WILAYANI KASULU MKOANI KIGOMA

 Mtoto Baraka Dombeni, akiwa na mama yake Bizimana Violet, akivishwa alama ya utambuzi muda mfupi baada ya kuwasili jana katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu, akitokea Wilaya ya Makamba nchini Burundi. Alama hii ni utambulisho wa kuwawezesha wakimbizi wanaofika katika kambi ya Nyarugusu kuandikishwa rasmi kabla ya kupewa hifadhi kambini hapo. Afisa Msajili Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia wakimbizi (UNHCR), Awadhi Nyanda akichukua taarifa toka kwa familia mojawapo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani