Afueni kwa Wafanyikazi wa kigeni Saudia
Saudia imekubaliana na serikali ya Indonesia kulinda haki za wafanyikazi wa nyumbani kutoka Indonesia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Afueni kwa wafanyikazi wa Qatar 2022
Viongozi nchini qatar wametoa mustakabali mpya wa wafanyikazi walioajiriwa na wenye kandarasi za kombe la dunia la mwaka wa 2022
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG
Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Afueni kwa watuhumiwa wa Rwanda
Mahakama maalum ya Kimataifa ya Rwanda- ICTR imefutilia mbali kesi dhidi ya maafisa waandamizi wawili waliodaiwa kuhusika na mauaji ya kimbari
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Afueni kwa wajakazi Brazil
Sheria mpya ambapo waajiri watatozwa faini iwapo watashindwa kuwasajili wafanyikazi wao wa nyumbani imeanza kutekelezwa Brazil.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
ICC: Afueni kwa William Ruto
Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemruhusu Naibu Rais wa Kenya William Ruto kutohudhuria baadhi ya vikao vya kesi dhidi yake katika mahakama hiyo.
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Afueni kwa wapenzi wa jinsia moja Uganda
Mahakama ya kikatiba Uganda imefutilia mbali sheria inayoharamisha mapenzi ya jinsia moja
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--QK8GNEJGVA/XsaCO7RVVhI/AAAAAAAEHSQ/TqozD0Ny_vgP2516QPn4u7TLeIiXsJSWACLcBGAsYHQ/s72-c/Brian%2BNdadzungira%2B-%2BHead%252C%2BPBB.jpg)
Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265
![](https://1.bp.blogspot.com/--QK8GNEJGVA/XsaCO7RVVhI/AAAAAAAEHSQ/TqozD0Ny_vgP2516QPn4u7TLeIiXsJSWACLcBGAsYHQ/s1600/Brian%2BNdadzungira%2B-%2BHead%252C%2BPBB.jpg)
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...
10 years ago
Habarileo11 Jun
‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
China kuwasajili wafanyikazi upya
Wakuu nchini China wametangaza mpango wa kuhalalisha ukaazi wa mamilioni ya wafanyakazi waliohamia mijini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania